pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Na kufa kwake
Kwa kiburi cha Nkurunzinza mimi naunga mkono kuugua kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kiburi cha Nkurunzinza mimi naunga mkono kuugua kwake
haiya...RIP in Advance.
Ushamchawia mwenzio tayariHivi anaweza kufa ee?
Dah! Yametimia tayariRIP in Advance.
Duu mkuu umefukua kaburi ya comment yangu,wewe jamaa balaaUshamchawia mwenzio tayari
Nilitabir.Mbona Tz inasuasua?Tayari!!! Taratiiibu heshima itawafunika madikteta wetu
Kakaangu weweHivi anaweza kufa ee?
Vip tena mkuu?Daah
Huyu kapata alichostahili!Ni funzoCOVID19 Kuna wengi inaowaondoa duniani kwa speed ya kutisha. Huyu alitangazwa kuwa na covid May 29 in less than 2 weeks imechukua uhai wake.
Kama alikuja kutibiwa Kenya !! Basi nina mashaka na kifo chake "nyangau si mtu"Ukaidi....mkiambiwa muache ukaidi mnalialia...
Nimefanya nn tena dada? Au hiyo comment yng ya tarehe 29?Kakaangu wewe
Duh.Hivi anaweza kufa ee?
Nini mkuu?Duh.
Hujakosea hata, nimeshangaa tu ulivyouliza na kilichotokea,, hujambo lakini?Nimefanya nn tena dada? Au hiyo comment yng ya tarehe 29?
Tabiri Tena,Anafata Nani mkuu[emoji1]Nilitabir.Mbona Tz inasuasua?
Yani wee acha tu,hadi nimeogopa kwanini niliandika hivo.Nipo ok namshukuru Mungu.Hujakosea hata, nimeshangaa tu ulivyouliza na kilichotokea,, hujambo lakini?
Mkuu utulie kwanza please nakuomba.Tabiri Tena,Anafata Nani mkuu[emoji1]