Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dawa za nini ?
Wazee wa kuunga ungaVyumba vya kubadilishia nguo.. au umesahau simba alivyolalamikiwa na timu nyingi kuhusu hii tabia
4 bila??aibu gani hii,mataifa ya nje yanatuonaje sisi?on target moja kweli?ile mikia kule mbele ilikua inarukaruka tu,halafu kwa kubana kalio eti tuna kikosi kipana!Utopolo utopolo pambaneni na uchafu wenu.
Manunu hasira za nn,bado mna maumivu?jamaa wana roho mbaya sana hata kupata mafuta wameshindwa? anyway wiki ijayo muandae wenyewe kilainishi msiwategemee sana wanaume.Stupid post
Tumechanganyikiwa baada ya kubakw.a kule bondeni 4gUto draw ya namungo inamchanganya
Mkuu cha muhimu ni kuandaa kilainishi mapema,j mosi msifikiri ni mbaliMleta mada umeleta uzi wa kitopolo.
Unaweza kulinganisha Sports Training facilities za Simba na zile za Kaizer Chief, Mamelodi Sundown, Orlando Pirates?Nawakumbusha tu simba..
Zama za kupuliza dawa zimeisha... au kusema watu wana corona....
Ama mseme wana corona kama al mereik.. rais wa caf anawapiga ban milele
Wamezidiwa uchawi hao misriUnaweza kulinganisha Sports Training facilities za Simba na zile za Kaizer Chief, Mamelodi Sundown, Orlando Pirates?
Unaweza kulinganisha ubora wa PSL ya South na hii VPL ya TZ.
Uchawi ungekuwa unashinda mechi ya soka Misri wangekuwa mabingwa wa Dunia. Lakini mabingwa utakuta ni Spain, France, German etc na sababu kubwa ni uwekezaji mkubwa kwenye michezo.
Anyway, acha Wabongo tuamini ndumba na ndagu
Hivi misri wachawi sana? Mbona bongo kila siku tunasifia nigeria?Unaweza kulinganisha Sports Training facilities za Simba na zile za Kaizer Chief, Mamelodi Sundown, Orlando Pirates?
Unaweza kulinganisha ubora wa PSL ya South na hii VPL ya TZ.
Uchawi ungekuwa unashinda mechi ya soka Misri wangekuwa mabingwa wa Dunia. Lakini mabingwa utakuta ni Spain, France, German etc na sababu kubwa ni uwekezaji mkubwa kwenye michezo.
Anyway, acha Wabongo tuamini ndumba na ndagu