Rais wa CAF ni Mzulu Patrice Motsepe kutoka Afrika Kusini. Simba pulizeni dawa muone Wazulu walivyo wabaya

Rais wa CAF ni Mzulu Patrice Motsepe kutoka Afrika Kusini. Simba pulizeni dawa muone Wazulu walivyo wabaya

Nawakumbusha tu simba..

Zama za kupuliza dawa zimeisha... au kusema watu wana corona....

Ama mseme wana corona kama al mereik.. rais wa caf anawapiga ban milele
Mnafurahia kufungwa Simba huku Azam anawapumulia kichogoni. Na tutahakikisha hata nafasi ya pili hampati na Kombe la shirikisho hamchukui. Mna roho mbaya sana ya kichawi
 
4 bila??aibu gani hii,mataifa ya nje yanatuonaje sisi?on target moja kweli?ile mikia kule mbele ilikua inarukaruka tu,halafu kwa kubana kalio eti tuna kikosi kipana!
.
FB_IMG_1621296343858.jpg
 
Back
Top Bottom