Mnafurahia kufungwa Simba huku Azam anawapumulia kichogoni. Na tutahakikisha hata nafasi ya pili hampati na Kombe la shirikisho hamchukui. Mna roho mbaya sana ya kichawi
4 bila??aibu gani hii,mataifa ya nje yanatuonaje sisi?on target moja kweli?ile mikia kule mbele ilikua inarukaruka tu,halafu kwa kubana kalio eti tuna kikosi kipana!