Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania: Wagonjwa wa COVID19 wamepungua SANA nchini

Nimeshuhudia misiba minane hadi Leo
 

Wewe umezoea ku-copy and paste ndio sababu unataka kulazimisha Tanzania yote tuinge hiyo tabia, hatutaki. Madaktari ni waongo ambao wanafanya kazi kwenye hizo Hospitali sema ukweli wewe sasa, wacha kulialia.

Unakubali kwamba kuna maabara mpya lakini mengine unayoambiwa huamini, kwa nini usikubali kwamba hata hiyo maabara mpya hakuna? Kumbe unachagua vya kuamini? Another useless bugger wasting our time and space.
 
Mpumbafu sana wewe, yaan na elimu yako ya kaptura unakuja kupinga wenye akili zao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania bila corona inawezekana
 
Idadi ya kupungua ni ipi? Na imepungua kutokea ngapi? Na speed ya visa vipya ni ngapi? Je, katika kupungua huko, wangapi wanaondoka duniani kwa style ya one way?
 
100% correct!
 
Tumia akili, nimesema tatizo lipo lakini haliko kama linavyo kuzwa,unaowajua wewe utakuta ni hao hao na wala yamkini wasife kabisa, sasa kamata na watu kadhaa hata mia moja wasio na viashiria vya siasa za kipuuzi waulize kama wana wagonjwa wa covid majumbani au kwa majirani,hakuna!!

Mimi siyo mwana siasa lakini nafanya kazi ya shirika binafsi na tunatembea kuliko unavyo fikiri na hatuwaoni hao wagonjwa,msipende kukuza mambo,ingekua kama isemwavyo si tungekua tunaona miili mitaani imelala tu imekufa,sasa iko wapi?

Mmesahau kuna Malaria na HIV mbona yenyewe hamsemi ilihai inachukua watu?kuweni wastaarabu acheni idara husika zifanye kazi, msikasirike kwa kutumbuliwa kwenu au mapenzi yenu ya siasa iwapo mnashabikia siasa
 
Watu wengi wanao piga makelele utakuta ni kati ya wale waliotumbuliwa na wenye vyeti feki,wapenzi wa siasa pia na wala si waTanzania wastaarabu wa siku zote. Hawa ni watu wapuuzi wanaotafuta kuchafua yamkini Rais na Serikali na yanajisahau hata yenyewe ni mazaliwa ya nchi hii hii,sa sijui wanamchafua mtu au wanajichafua wenyewe bila msingi
 
Nadiriki kuwaza WATANZANUA NI WATU WA HOVYO ingawa si wote!!! Raise wa madaktar katoa tsarifa covid19 inapungua, wewe Ni Nani hata upinge Haya let na we analysis yako kuonyesha Corona inaongezeka! Ww unaepinga Ni mwehu sawa na mwehu mwingine!

Ulitegemea WATANZANUA tufe Iki upate nn? NDO HIVYO SASA CORONA IMEPUNGUA KAJINYONGE PUMBI WEWE. HAKUNA JEMA LINALOFANYWA NA SERIKALI KILA SIKU KUPINGA TUU!!

Yaani we Ni wa hovyoooo! Natamani nikupe za uso ila unaudhi Sana. Hiii Ni taarufa nzuri mungu kasaidia ugonjwa inapungua si tushukuru mungu basi! MJINGA KABISA
 
Nyie ni kati ya watu wapuuzi na wajinga sana. Kutumbuliwa kwenu kusiwafanye mtuaminishe kisicho kuwepo,tuko nchini humu humu na hatuna Covid mitaani, pumabvu zenu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…