Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,442
Noma sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabano usiweke mwisho wa sentens weka mwisho wa jona la rangi[Color=green Noma sana]
Io sio COLOUR weka COLOR😂😂😂😂😁😁😁
Mabano weka mwishonwa jina la rangi sio mwisho wa sentensi[colour=red Kama hivi au siyo]
Pale gerezani kuna jamaa wanachanganya kwa computer rangi unayotaka🤣⁉️Hii rangi nyekundu ya wino naipata wapi ndugu? Naomba mwongozo tafadhali.
😃😀poleeeee usiache nafasiii sasa[colour = red] Natest Mitambo
😂😂💔Pale gerezani kuna jamaa wanachanganya kwa computer rangi unayotaka🤣⁉️
Kuuliza sio ujinga kuuliza si ushamba… umekomboa wengi humu 😍Aiseee
😃😀poleeeee usiache nafasiii sasa
SawaaaaHapa imebidi nitumie icons zilizopo kwenye browser ndo imekubali. Hiyo ya mabano imenishinda labda kwa kuwa situmii App Mr Chemist
najaribukwa sasa mtanikoma
Huyo Rais alitakiwa Kuuawa kabisa ili iwe fundisho na kwa Marais wengine wanaotuchukulia poa sisi Raia wa kawaida.UZI UMEBADILIKA NA KUWA DARASA HURU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
[]asanteUnaandika hivii
[color=jina la rangi unalotitaka kwa english]then andika sentensi yako mbele ya mabano ya kufunga bila kuacha nafasi
NB; io jina la rangi unayotaka kuiweka nimeiandika kwa kiswahili ili uelewe format ya kuandika. Jina la rangi linaandikwa kwa english kama ni red blue ninwewe tuuu
NADHANI UTANIELEWA MI SIJUI KUELEWESHA SANAAA ILA NIMEJARIBU TUUU.[/QUOTE ()asante