Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
TanzaniaAnza kuandika hivi
(Color=blue)TANZANIA
ila apo kwenye tanzania wwka sentensi yako alafu hayo mabano weka hayaaa [] afu uone itakuwajeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TanzaniaAnza kuandika hivi
(Color=blue)TANZANIA
ila apo kwenye tanzania wwka sentensi yako alafu hayo mabano weka hayaaa [] afu uone itakuwajeee
Baada ya kujaribu mara mbili ya tatu nikawezaaaaaaaTanzania
Ubarikiwe kwa elimu hiiUZI UMEBADILIKA NA KUWA DARASA HURU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
AMINAUbarikiwe kwa elimu hii
Hongera Dream Queen. Karibu katika ulimwengu wa marangirangi ambao umeamzishwa kwenye uzi huu na Mr Chemist na ndugu Tony Laurent akaomba msaada. Samahani sana Miss Zomboko, mwanzilishi wa uzi huu kuhusu Rais wa Chile kunusurika kuondolewa madarakani. Tumeuteka uzi kwa marangi rangi. Ombi la Tony Laurent limekuwa msaada kwa wana JF wengine pia. This is JF. Thank you Mr. Maxence Melo. God bless you for using your talent for the benefit of so many Tanzanians.Baada ya kujaribu mara mbili ya tatu nikawezaaaaaa
Sasa hivi tumeshasahau hata habari za rais wa Chile kunusurika kuondolewa madarakani, ambacho ndio maudhui ya uzi huu ...... tumehamia kwenye marangi rangi....hatari sana mambo ya color uzi umekuwa wa color tu.
Sio colour ni color[colour=purple]na Mimi nijaribu
Umeandika Colour badala ya Color..... Ukijaribu tena unaweza[colour=purple]na Mimi nijaribu