Rais wa Chile anusurika kuondolewa madarakani

Rais wa Chile anusurika kuondolewa madarakani

Baada ya kujaribu mara mbili ya tatu nikawezaaaaaa
Hongera Dream Queen. Karibu katika ulimwengu wa marangirangi ambao umeamzishwa kwenye uzi huu na Mr Chemist na ndugu Tony Laurent akaomba msaada. Samahani sana Miss Zomboko, mwanzilishi wa uzi huu kuhusu Rais wa Chile kunusurika kuondolewa madarakani. Tumeuteka uzi kwa marangi rangi. Ombi la Tony Laurent limekuwa msaada kwa wana JF wengine pia. This is JF. Thank you Mr. Maxence Melo. God bless you for using your talent for the benefit of so many Tanzanians.
 
Back
Top Bottom