Rais wa China ampigia simu Rais Magufuli, ampongeza kwa ushindi na kwa utekelezaji wa miradi ya kimkakati

Rais wa China ampigia simu Rais Magufuli, ampongeza kwa ushindi na kwa utekelezaji wa miradi ya kimkakati

Jasusi Mbobezi

Senior Member
Joined
May 17, 2020
Posts
195
Reaction score
851
1.jpg
2.jpg
3.jpg

1. Amempongeza kwa ushindi.
2. Amempongeza kwa kukabiliana na Corona
3. Amempongeza kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa miaka 5 iliyopita
4. Amesema anaiona Tanzania kuwa nchi itakayo ongoza kwa uchumi barani Africa
5. Amempongeza kwa utekelezaji wa miradi ya kimkakati ikiwemo mradi wa SGR, Nyerere Dam na ameahidi kushirikiana naye ktk utekelezaji wa miradi hiyo mikubwa.

Kwa upande wake rais JPM amemshukuru Rais wa China kwa kupiga simu na kumpongeza, amealika wawekezaji toka China kwa manufaa ya nchi zote, ameomba kupatiwa mikopo kwa gharama nafuu kwa ujenzi wa project nyingine kubwa za umeme na ameomba China kufungua masoko ya bidhaa toka Tz.
Maombi yote yamekubaliwa na Rais wa China

1.jpg

2.jpg

 
Bora kuwa na rafiki wa kweli kuliko kuwa na rafiki mnafiki. Mababeru wasidhani watapigiwa magoti na Tanzania, Lissu arudi tu Tanzania maana nchi ina marafiki wa kweli wazuri kuliko huko anakoichafua nchi. Uzuri ni kuwa China hawana masharti katika misaada kama nchi za Ulaya.

Angalizo: Lissu awe makini na hao mababeru, asiendelee kuichafua Tanzania.. maana si ajabu mababeru wakajirudi kwetu huku wakimtelekeza Lissu kwani hawatakuwa tayari kuiachia China iwapite katika mahusiano na Africa, Tz ikiwemo kwani wanajua ni hasara kubwa kwao kuwaruhusu China kuwapita kwenye mahusiano na Afrika.
 
Nchi zote zinazoamini socialism hufuata mkondo wa kuwa na chama kimoja hazitaki demokrasia.

Nchina ina chama kimoja
Urusi ina vyama vingi ila nayo ni yale yale
Korea kaskazini yale yale
So kupongezana kwa kuua demokrasia ni kawaida yao.
Demokrasia ni mfumo uliotengenezwa na nchi za magharibi kuzinyonya nchi masikini. Wanachofanya ni kuinfluence maamuzi ya majority kuwachonganisha then wanakaa pembeni na kunyonya rasilimali. Siamini katika neno Demokrasia.
 
Pale jiwe anapokataza wengine wasijipige selfie halafu yeye akijiruhusu. Hii inaitwaje
 
Hongera kwa JPM kutumia fursa ya maongezi vizuri.
 
Back
Top Bottom