Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ilikuwa tabia yake kutoa watu uhai, kweli kabisa na yeye aanze kusali mapema kabisa.Ukiangalia izo picha unapata huruma usiyo kifani.........
Ila wakiwaga madarakani wanakuaga Mungu watu....
Naona Raisi anapitia bonde la uvuli wa mauti....sio rahisi kutoka salama kumwacha hai ni ku skip revenge... Kum toa uhai ni end of story........
Namwombea uhai Mr. President
Mara nyingi ni matokeo kwa watawala wasiiofuata sheria. Wabadiri katiba ili wadumu mpaka wanachokwa na wapambe wao. Ni staili ya CCM.Ukiangalia izo picha unapata huruma usiyo kifani.........
Ila wakiwaga madarakani wanakuaga Mungu watu....
Naona Raisi anapitia bonde la uvuli wa mauti....sio rahisi kutoka salama kumwacha hai ni ku skip revenge... Kum toa uhai ni end of story........
Namwombea uhai Mr. President
WamemtozoUkiangalia izo picha unapata huruma usiyo kifani.........
Ila wakiwaga madarakani wanakuaga Mungu watu....
Naona Raisi anapitia bonde la uvuli wa mauti....sio rahisi kutoka salama kumwacha hai ni ku skip revenge... Kum toa uhai ni end of story........
Namwombea uhai Mr. President
Huku bongo wanafanya usafi tuNimeona sehemu wanasema rais wa Guinea amepinduliwa na wanajeshi waasi na anapelekwa kwenye mahakama ya kijeshi
View attachment 1925186
===
Wanajeshi waliosababisha ghasia nchini Guinea wametangaza kutoitambua Katiba na Serikali ya nchi hiyo. Waziri wa Ulinzi amesema wanajeshi hao wamedhibitiwa
Milio ya bunduki ilisikika karibu na Ikulu, Conakry, Jumapili asubuhi huku wengi wakisema machafuko hayo yamesababishwa na Mamady Doumbouya
Wanajeshi wametangaza kuwa nchi hiyo itakuwa chini ya serikali ya mpito baadhi ya video zikimuonesha Rais Alpha Conde akiwa chini ya maafisa wa Jeshi
Mmh!!Hata yule Rais wa Tanzania anaezurura kama yale Mapaka yasiyofugwa na ambae anaendeshwa na wateule wake anapaswa apinduliwe pia.