muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Africa bara letu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaaaa ahaaaHata yule Rais wa Tanzania anaezurura kama yale Mapaka yasiyofugwa na ambae anaendeshwa na wateule wake anapaswa apinduliwe pia.
Wana kuzoom tu waku ben saananeHata yule Rais wa Tanzania anaezurura kama yale Mapaka yasiyofugwa na ambae anaendeshwa na wateule wake anapaswa apinduliwe pia.
Sidhani kama yatatokea maana jamaa waasi hao wapo imara sana kulinda raia, kuonekana kwa mara ya kwanza kwa kiongozi wa waasi kanali Mamady Doumbouya imesemekana alitaka raia wawe huru na kusema...Hapo machafuko yatatokea
Ni noma aiseeSidhani kama yatatokea maana jamaa waasi hao wapo imara sana kulinda raia, kuonekana kwa mara ya kwanza kwa kiongozi wa waasi kanali Mamady Doumbouya imesemekana alitaka raia wawe huru na kusema...
- Katiba imevunjwa.
- Serikali imevunjwa na
- Mipaka imefungwa.
Jaribio la mapinduzi linaendelea nchini Guinea, mpaka muda huu vikosi maalum vilivyoasi tayari viko ndani ya Ikulu ya Rais na vimeondoka na raisi wa nchi hiyo kuelekea naye pasipo fahamika.
View attachment 1925208
Hizi ni picha ambazo baada ya vikosi hivyo kuongia ikulu walipiga naye picha na kupiga naye picha na Rais anaonekana kukamatwa, askari wakimpiga picha.
Picha ya juu ni Rais wa Guinea Alpha Condé aliyekamatwa na jeshi alionekana kwenye mitandao ya kijamii.
View attachment 1925209
Picha ya video ikimuonyesha rais huyo akiwa kakaa na vikosi hivyo vya waasi vikipiga naye picha kabla ya kuondoka naye.
Wananchi katika mji mkuu wa nchi hiyo Conakry wameonekana wakishangilia mapinduzi hayo wakati wanajeshi walipokuwa wakipita barabarani.
View attachment 1925246
Kamanda anayeongoza mapinduzi hayo ya kijeshi nchini humo inasemekana ni Luteni Mamady Doumbouya ambaye alikuwa mtu karibu kwa upande wa rais wa nchi hiyo.
View attachment 1925272
☝🏾Luteni Mamady Doumbouya
Francis, kumbuka mfaransa hampendi mwafrika na ndiyo maana katika ukoloni wake hakuna nchi ambayo aliacha umoja, bali fitina na kuchukiana.Kwanini French speaking African nations ndio zina vita tu?
1.) D.R.C CONGO - Has seen decades of violence especially in the north-east - French speaking 2.) C.A.R (Central African republic) - Has recently undergone a cope de tat - French speaking 3.) MALI - Recently was taken over by rebels in the Northen part, french troops intervened - French speaking...www.jamiiforums.com
kwa sababu wana hali ngumi sana za maisha.ukisikia africa mbovu iko huko.Huko West Africa Bado majeshi yao yanajielewa na inapotokea watawala wakacross line majeshi huingilia na recently tumeona Mali. Na ukimsikilza huyo kiongozi wa mapinduzi anacite bad governance ndo imepelekea wao kuchukua power.
ccm wako smart ndio maana ni moja ya vyama bora sana duniani[emoji1][emoji1]Mara nyingi ni matokeo kwa watawala wasiiofuata sheria. Wabadiri katiba ili wadumu mpaka wanachokwa na wapambe wao. Ni staili ya CCM.
😅😅😅 Mkuu wadada watajaa PM wapokee maana wanapenda sura ya kiume kama LTHuyo Lt mbona anafanana na mimi?? Duniani wawili wawili.