Changamoto ya jeshi letu ni "shule ndogo". Wengi wa walio na vyeo tuwaonao ni failures O level, A level na lower levels universities. Uwezo wao wa ku-analyse issues ni mdogo mno.Mara nyingi ni matokeo kwa watawala wasiiofuata sheria. Wabadiri katiba ili wadumu mpaka wanachokwa na wapambe wao. Ni staili ya CCM.