Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Ile ya kutolewa either kwa natural death ndo nzuri sio marisasi.Hamna Vita Apo mbona,
Jamaa kanyakuliwa kimya kimya[emoji23][emoji23][emoji23]
Afu kawa mpole Kama sio yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ya kutolewa either kwa natural death ndo nzuri sio marisasi.Hamna Vita Apo mbona,
Jamaa kanyakuliwa kimya kimya[emoji23][emoji23][emoji23]
Afu kawa mpole Kama sio yeye
Kwa tulikofikia,Majeshi hayatakiwi kuongoza nchi. Shughuli yake kama taliban but wanasaidia kuwanyogoa madikteta. Wanapaswa kuitisha uchaguz haraka kama kwel wanaipemda Guinea yao.
So bora yule jamaa sio?Kwa tulikofikia,
Kama wanasiasa wenyewe ndo kina ndugai na Mwigulu.
Bora nchi iongozwe na Jeshi TU.
Hii ndo nzur zaidi,Ile ya kutolewa either kwa natural death ndo nzuri sio marisasi.
Japo Jamaa alkua na mapungufu yake ya kibinadamu, Ila siwez kumlaumu Sana.So bora yule jamaa sio?
Huku kwetu tunafeli wapi mkuu? Mi sielewi kabisa maana huku kwetu watu hawavunji katiba, wanailawiti na kuibaka kabisa bila kilainishi.
Jamaa wamenifurahisha Sana
Wajeda sio watu wazuri aisee[emoji4]
Jamaa inaonekana kapigwa kachakaa[emoji23][emoji23]View attachment 1925600
Mataga hii ilotokea guinea,Unajua ambacho hutokea jeshi likishika nchi?? Au unaropoka ropoka kama umemeza kaa la moto
Acha siasa,Hata hawawezi kumpiga usidhan anatreatiwa kama raia huyo
Tanzania hakuna amani acha ujinga Kuna utulivu unaosababishwa na umbumbumbutanzania ni nchi ya amani na utulivu, izo njama zenu za kuvuruga nchi hamtakaa muache kupokea kichapo
wapinzani hao wanaongoza nchi gani??ccm wako smart ndio maana ni moja ya vyama bora sana duniani[emoji1][emoji1]
we ushasikia wapi mtu kamaliza miaka kumi ccm anakomaa na funguo za ikulu!!!
wapinzani kule ndio wana style hiyo ya kukomalia ofisi.
Tanzania hakuna amani acha ujinga Kuna utulivu unaosababishwa na umbumbumbu
tanzania ni nchi ya amani na utulivu, izo njama zenu za kuvuruga nchi hamtakaa muache kupokea kichapo
Kwani unateseka[emoji4]Akili huna taahira ww
Kwakweli uku wamezidi,Huku kwetu tunafeli wapi mkuu? Mi sielewi kabisa maana huku kwetu watu hawavunji katiba, wanailawiti na kuibaka kabisa bila kilainishi.