Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Nimezaliwa hapa hii ni nchi yangu lakini ccm mnachokifanya Kita backfire tu siku moja magu wenu aliokolewa na kifo mama alianza vizuri mmechafulia rekodi yake Ila tutafika tu huku muda c mrefu mna inequality za kijinga Sanakama panakuboa we tafauti kibanda kingine chenye serikali unayoitaka