Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Shauri yao. Hawanihusu.Kuna watu wameitwa magaidi huko wamekuwa kama mbogo. Wanatukana njia nzima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shauri yao. Hawanihusu.Kuna watu wameitwa magaidi huko wamekuwa kama mbogo. Wanatukana njia nzima
😅😅😅Shauri yao. Hawanihusu.
Huyo ni miongoni mwa Madikteta sugu wa Africa,alishaifanya Guinea kama familia yake.Amekaa kwa muda gani madarakani?
Huku kwetu tunafeli wapi mkuu? Mi sielewi kabisa maana huku kwetu watu hawavunji katiba, wanailawiti na kuibaka kabisa bila kilainishi.Ebaana eeh!
Habari njema Sana Hii kwa madikteta wavunja katiba.
Hii habari imfikie ndugai na genge lake[emoji4][emoji4][emoji4]
Jamaa wamenifurahisha SanaHao watu, hawatakagi ujinga hao.
Aisee nataman sn itokee bongo,Huku kwetu tunafeli wapi mkuu?
Unapenda vita ndug yangu. Hutak changes za kimya kimya?Jamaa wamenifurahisha Sana
Hamna Vita Apo mbona,Unapenda vita ndug yangu. Hutak changes za kimya kimya?
Hawajui madhara ya kuendeshwa kijeshi hawa watu, wanakurupuka tu! Mpera Mpera wa Magu tu miaka 5 wengine hadi walikimbia nchi na kumwombea kifo, waTZ ni wakurupukaji na wanafiki sana, siyo wa kuwasikilizaUnapenda vita ndug yangu. Hutak changes za kimya kimya?
Majeshi hayatakiwi kuongoza nchi. Shughuli yake kama taliban but wanasaidia kuwanyogoa madikteta. Wanapaswa kuitisha uchaguz haraka kama kwel wanaipemda Guinea yao.Hawajui madhara ya kuendeshwa kijeshi hawa watu, wanakurupuka tu! Mpera Mpera wa Magu tu miaka 5 wengine hadi walikimbia nchi na kumwombea kifo, waTZ ni wakurupukaji na wanafiki sana, siyo wa kuwasikiliza
Tulikokua tunaelekea, mbona hata naye angepinduliwa TU.Hawajui madhara ya kuendeshwa kijeshi hawa watu, wanakurupuka tu! Mpera Mpera wa Magu tu miaka 5 wengine hadi walikimbia nchi na kumwombea kifo, waTZ ni wakurupukaji na wanafiki sana, siyo wa kuwasikiliza