Rais wa Guinea, Alpha Conde apinduliwa na Jeshi

Rais wa Guinea, Alpha Conde apinduliwa na Jeshi

Jaribio la mapinduzi linaendelea nchini Guinea, mpaka muda huu vikosi maalum vilivyoasi tayari viko ndani ya Ikulu ya Rais na vimeondoka na raisi wa nchi hiyo kuelekea naye pasipo fahamika.

View attachment 1925208
Hizi ni picha ambazo baada ya vikosi hivyo kuongia ikulu walipiga naye picha na kupiga naye picha na Rais anaonekana kukamatwa, askari wakimpiga picha.

Picha ya juu ni Rais wa Guinea Alpha Condé aliyekamatwa na jeshi alionekana kwenye mitandao ya kijamii.


View attachment 1925209

Picha ya video ikimuonyesha rais huyo akiwa kakaa na vikosi hivyo vya waasi vikipiga naye picha kabla ya kuondoka naye.

Wananchi katika mji mkuu wa nchi hiyo Conakry wameonekana wakishangilia mapinduzi hayo wakati wanajeshi walipokuwa wakipita barabarani.


View attachment 1925246

Kamanda anayeongoza mapinduzi hayo ya kijeshi nchini humo inasemekana ni Luteni Mamady Doumbouya ambaye alikuwa mtu karibu kwa upande wa rais wa nchi hiyo.

View attachment 1925272
☝🏾Luteni Mamady Doumbouya

Mzizi wa fitina uko hapa:

"Wananchi katika mji mkuu wa nchi hiyo Conakry wameonekana wakishangilia mapinduzi hayo wakati wanajeshi walipokuwa wakipita barabarani."

Huwa hawajifunzi kutambua demokrasia ni kutawala kwa kuwajibika kwa watu.

Wanasherehekea vipi basi?
 
Jaribio la mapinduzi linaendelea nchini Guinea, mpaka muda huu vikosi maalum vilivyoasi tayari viko ndani ya Ikulu ya Rais na vimeondoka na raisi wa nchi hiyo kuelekea naye pasipo fahamika.

View attachment 1925208
Hizi ni picha ambazo baada ya vikosi hivyo kuongia ikulu walipiga naye picha na kupiga naye picha na Rais anaonekana kukamatwa, askari wakimpiga picha.

Picha ya juu ni Rais wa Guinea Alpha Condé aliyekamatwa na jeshi alionekana kwenye mitandao ya kijamii.


View attachment 1925209

Picha ya video ikimuonyesha rais huyo akiwa kakaa na vikosi hivyo vya waasi vikipiga naye picha kabla ya kuondoka naye.

Wananchi katika mji mkuu wa nchi hiyo Conakry wameonekana wakishangilia mapinduzi hayo wakati wanajeshi walipokuwa wakipita barabarani.


View attachment 1925246

Kamanda anayeongoza mapinduzi hayo ya kijeshi nchini humo inasemekana ni Luteni Mamady Doumbouya ambaye alikuwa mtu karibu kwa upande wa rais wa nchi hiyo.

View attachment 1925272
☝🏾Luteni Mamady Doumbouya

Kuna ndugu yenu huku msijifanye hamumuoni:

Naipendatz stakehigh
 
naona west Africa wameanza ile michezo yao ya zamani ya kupinduana sasa....huyu Alpha Cone acha tu wamteke ameyataka mwenyewe....

kuna watu wanashabikia huu ujinga wanafikiri hayo yanayofanyika ni matakwa ya hao watendaji....kuna kitu kinaitwa French Africa... mfaransa anaendelea na tabia zake za hovyo...hayo ni makoloni ya ufaransa na hizo ni tawala zake huwa ni suala la muda akishakuchoka anaplant wengine anaendeleza ukoloni... WaAfrica tuwe na akili sasa..
 
ccm wako smart ndio maana ni moja ya vyama bora sana duniani[emoji1][emoji1]

we ushasikia wapi mtu kamaliza miaka kumi ccm anakomaa na funguo za ikulu!!!

wapinzani kule ndio wana style hiyo ya kukomalia ofisi.
Mbowe wa 20 Sasa ..
 
Maraisi wana shughuli kabla 2021haijaisha yule waafaghanstan walimfurusha akatoka mbio na ndala .Huyu waleo naona yuko pekupeku na vesti kazi ipo.
 
Aiseee Luten General Mamady ni pande la mtu dadeq,Duuu aiseee majitu Kama Yale yanafaa yawe nchi Kama Tozonia itapendeza sana!
 
Back
Top Bottom