howardlite
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 242
- 392
Haaaaa haaaa.... kama namuona Madelu akila za usoHuku kwetu raisi anaweza kujikuta karibu kila waziri wake anakula ngumi kwa ubadhirifu kwenye wizara zao ππ.
Mwalimu Nyerere alikuwa sahihi kwa sehemu kuwapiga viboko ishirini na vinne,siku anaingia viboko kumi na viwili na siku anatoka jela viboko kumi na viwili akamuonyeshe mkewe ππ.
Nyerere , Waziri wake yupi alimfanyia hivyo? (viboko).Huku kwetu raisi anaweza kujikuta karibu kila waziri wake anakula ngumi kwa ubadhirifu kwenye wizara zao ππ.
Mwalimu Nyerere alikuwa sahihi kwa sehemu kuwapiga viboko ishirini na vinne,siku anaingia viboko kumi na viwili na siku anatoka jela viboko kumi na viwili akamuonyeshe mkewe ππ.
Yahh, hawez kuwa rais wa nchi uyoProved be fake news two years ago.
Nimezungumzia dhana ya ndani ya ubadhirifu na rushwa namna ambavyo Nyerere alijaribu kwa nafasi yake pale viongozi wake walipohongwa na aliyekuja akihonga yakamkuta, nikihusisha na tukio hili.Nyerere , Waziri wake yupi alimfanyia hivyo? (viboko).
Hiki kibibi mapaja cha muda sana jf kama faiza fox ila hakijaiona hii video kweli jf kuna vimeo I'd fake zinawaokoa.ππππππ
Huku kwetu Rais anaweza kujikuta karibu kila waziri wake anakula ngumi kwa ubadhirifu kwenye wizara zao [emoji3][emoji3].
Mwalimu Nyerere alikuwa sahihi kwa sehemu kuwapiga viboko ishirini na vinne,siku anaingia viboko kumi na viwili na siku anatoka jela viboko kumi na viwili akamuonyeshe mkewe [emoji3][emoji3].
View attachment 2521887
Naanza kuona humu jf kuna wapumbavu wengi na watu ambao ni wa vijijini less informed!! Hii video ni ya muda sana nadhani wakati wa KIKWETE hata covid hatuijui!!!