Rais wa JMT akemea makundi yanayodai ufisadi umerudi. Je, ni makundi gani?

Rais wa JMT akemea makundi yanayodai ufisadi umerudi. Je, ni makundi gani?

"Kuna makundi wanajua wanayoyafanya ndani ya serikali, na yanageuka kusema serikali ya awamu ya 6 ufisadi umerudi mambo yako hovyo kumbe wao ndio wako hovyo, mambo hayo yalifanyika huko nyuma, gari bovu linaangushiwa awamu ya 6 sitakubali"@SuluhuSamia Bandarini Leo https://t.co/2LreQmIlmkView attachment 2032536
Hivi kuna kundi la ovyo zaidi ya kundi lililobuni kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe? Kesi ambayo imeivua nguo CCM na Serikali yake mchana kweupe kiasi tumefikia kuwajua hata wasiojulikana na mbinu zao?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Bibi tozo usituchoshe. Hatutaki drama.

Umetubomolea vibanda wamachinga — Kwanza nina hasira sana na wewe. Kaa kimya na ushungi wako.

Bei za bidhaa ziko juu, gesi juu, mafuta juu, sukari juu.

Umeme wa mgao, maji tabu, umeua miradi wa umeme... Bwawa la Nyerere etc. Tozo kila mahali.

Umetuletea machanjo ya ajabu ajabu. YAANI WEWEEE.... i wish niku....
Hapo mwisho hapo.....[emoji1787]
YOU WISH UM.......
 
Mama tumuombee adumu, amalize kipindi hiki na kile cha 2025. Alichokosea kabisa ni kudhani mfumo wa Dkt Magufuli ulikuwa mbaya. Alipaswa atembelee hiyo nyota japo kwa mwaka ili kupata somo. Ila kama kuna watu walimuua Dkt Magufuli na yeye wakamnyetishia kuwa asipotekeleza ya hao mafisadi watamuondoa basi kazi ipo. Ila Mama hana tamaa kabisa, ni mzalendo ila shida mifumo inakinzana. Angekubali kuendelea na mfumo wa Dkt Magufuli yaani mpaka sasa angakuwa hero.
 
Sasa kama wako hovyo mbona anawaacha tu waendelee kufanya mambo ya hovyo?

Maana kama wako hovyo halafu hawako kwenye utumishi, shida iko wapi?

Kama wako hovyo, badala ya kulalamika, awapige chini. Wananchi walalamike na rais naye alalamike? Mantiki ya uongozi inapotelea mbali.
Mama yamemvuka madaraka.
Analalamika badala ya kuchukua hatuaa
 
Aliyekuwa mkali (fake) na kutumbua hadharani aliyaacha hivyo hivyo na kuyaangalia huku akibadili na kuweka anaewajua

Tulishuhudia mabomba ya mafuta wame divert mpaka kwenye nyumba ya mtu
Mpaka leo hata mwenye nyumba hajulikani
Vichwa vya trains tumenunua kwa mwenyewe (hewa)
Hili ndio lilituacha midomo wazi
Muongo na mwizi ni mtu na mwanae
Huwezi kuviachanisha
 
Back
Top Bottom