Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
M
Madaraka ni kitu ingine!Wanaoneana gere wenyewe kwa wenyewe.Tufumbe macho tuombe.Ila kila mtu akumbatie kinywaji chake kisije kuongezwa "sukari" na wahuni tutakapokuwa tumefumba macho.CCM hakuna makundi...alisikika kenge mmoja akibwatuka