I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Yule mganga wake wa Zanzibari azidishe manyanga huyu mama Apendwi toka kichwani mpaka miguuni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ameona jinsia ya kike haimsaidii abadilishe.Kwanini asiyashughulikie hayo makundi akiwa kama mkuu wa serikali na mwenyekiti wa chama chake? analalamika kwa nani? alituambia yeye ndie Rais mwenye jinsia ya kike au ameshasahau?
Rais atambue kuacha miradi mikubwa ya mtangulizi wake kabla haijamalizika huku nae anaibuka na miradi yake ya gharama kubwa mpaka $30 bil. ni dalili za ufisadi, hizo pesa watazitoa wapi? watazirudisha vipi? anatakiwa kujibu haya maswali asihangaike na watu wanaotoa maoni yao.
Na hizo haki za wananchi anazoapa kuzisimamia ni zipi? kule magereza wapo waliobambikiwa kesi huku kila siku jamhuri wakishirikiana na jaji wanatoa ushahidi wa aibu ili kuhakikisha washtakiwa wanafungwa bila hatia, haya yanatokea kwenye awamu yake ya sita, asikwepe kitu.
Rais ajue haki za wananchi ni pamoja na wapinzani, nao ni watanzania wanastahili kuishi kwa amani ndani ya nchi yao, asichague wa kuwapa haki na wengine awanyime kwa sababu za kisiasa, ajue dhamana aliyokabidhiwa kuwatumikia watanzania na aisimamie vizuri bila ubaguzi wowote, maneno matupu bila vitendo hayana maana.
Kikundi cha watu wa hovyo .. uongozwa na watu wa ovyo, ovyo.."Kuna makundi wanajua wanayoyafanya ndani ya serikali, na yanageuka kusema serikali ya awamu ya 6 ufisadi umerudi mambo yako hovyo kumbe wao ndio wako hovyo, mambo hayo yalifanyika huko nyuma, gari bovu linaangushiwa awamu ya 6 sitakubali"@SuluhuSamia Bandarini Leo https://t.co/2LreQmIlmkView attachment 2032536
Sema humor si wewe kichaa wa chato!Yule mganga wake wa Zanzibari azidishe manyanga huyu mama Apendwi toka kichwani mpaka miguuni.
Kikundi cha watu wa hovyo .. uongozwa na watu wa ovyo, ovyo..
Kibanda ulichojenga nani alikupa ruhusa ya kukijenga?. Gwaride la kawaida tu, ni mwengo wa mguu sawa.Bibi tozo usituchoshe. Hatutaki drama.
Umetubomolea vibanda wamachinga — Kwanza nina hasira sana na wewe. Kaa kimya na ushungi wako.
Bei za bidhaa ziko juu, gesi juu, mafuta juu, sukari juu.
Umeme wa mgao, maji tabu, umeua miradi wa umeme... Bwawa la Nyerere etc. Tozo kila mahali.
Umetuletea machanjo ya ajabu ajabu. YAANI WEWEEE.... i wish niku....
Chadema!!! Au nasema uongo kamanda usiechoka kutoka Lumumba??"Kuna makundi wanajua wanayoyafanya ndani ya serikali, na yanageuka kusema serikali ya awamu ya 6 ufisadi umerudi mambo yako hovyo kumbe wao ndio wako hovyo, mambo hayo yalifanyika huko nyuma, gari bovu linaangushiwa awamu ya 6 sitakubali"@SuluhuSamia Bandarini Leo https://t.co/2LreQmIlmkView attachment 2032536
"Kuna makundi wanajua wanayoyafanya ndani ya serikali, na yanageuka kusema serikali ya awamu ya 6 ufisadi umerudi mambo yako hovyo kumbe wao ndio wako hovyo, mambo hayo yalifanyika huko nyuma, gari bovu linaangushiwa awamu ya 6 sitakubali"@SuluhuSamia Bandarini Leo https://t.co/2LreQmIlmkView attachment 2032536
Anakemea ufisadi au anakemea wanaomtaarifu kwamba ufisadi umerejea? Hapo tuwekane sawa"Kuna makundi wanajua wanayoyafanya ndani ya serikali, na yanageuka kusema serikali ya awamu ya 6 ufisadi umerudi mambo yako hovyo kumbe wao ndio wako hovyo, mambo hayo yalifanyika huko nyuma, gari bovu linaangushiwa awamu ya 6 sitakubali"@SuluhuSamia Bandarini Leo https://t.co/2LreQmIlmkView attachment 2032536
Hili lipo na linawezekana,ila subiri 2024 tukikaribia uchaguzi JPM ataimbwa sana na tutaenda sana ziara chatoMama tumuombee adumu, amalize kipindi hiki na kile cha 2025. Alichokosea kabisa ni kudhani mfumo wa Dkt Magufuli ulikuwa mbaya. Alipaswa atembelee hiyo nyota japo kwa mwaka ili kupata somo. Ila kama kuna watu walimuua Dkt Magufuli na yeye wakamnyetishia kuwa asipotekeleza ya hao mafisadi watamuondoa basi kazi ipo. Ila Mama hana tamaa kabisa, ni mzalendo ila shida mifumo inakinzana. Angekubali kuendelea na mfumo wa Dkt Magufuli yaani mpaka sasa angakuwa hero.
Kwahiyo nikale wapi?Kibanda ulichojenga nani alikupa ruhusa ya kukijenga?. Gwaride la kawaida tu, ni mwengo wa mguu sawa.
Hayo pia atasema ameyarithi anafikiri Watanzania hawakuwepo kwenye hizo awamu.Bibi tozo usituchoshe. Hatutaki drama.
Umetubomolea vibanda wamachinga — Kwanza nina hasira sana na wewe. Kaa kimya na ushungi wako.
Bei za bidhaa ziko juu, gesi juu, mafuta juu, sukari juu.
Umeme wa mgao, maji tabu, umeua miradi ya umeme... Bwawa la Nyerere etc. Tozo kila mahali.
Umetuletea machanjo ya ajabu ajabu. YAANI WEWEEE.... i wish niku....
Makucha yenyewe kayapaka rangi na hina za kizenji, unatarajia nini?Mama wewe ni Rais, hebu onesha makucha ya uRais...