Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
- #81
Good pointNinachoshangaa yy hakuwa sehemu ya serikali hiyo?Kama alikuwepo kwa nn hakuresign kuonyesha haiungi mkono serikali hiyo.kama hakujiuzuru basi wote walikuwa sehemu ya mambo haya.nimbaya kumtwiga mzigo mtu ambaye hatunaye Wala hawezi jitetea.wakati yupo wote walikaa kimywa na hata walikuwa machampioni wa kutoa kauli tata leo hii kageuka yy ndo alikuwa mbaya pekee yake