Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Madaraka ni kitu ingine!Wanaoneana gere wenyewe kwa wenyewe.Tufumbe macho tuombe.Ila kila mtu akumbatie kinywaji chake kisije kuongezwa "sukari" na wahuni tutakapokuwa tumefumba macho.CCM hakuna makundi...alisikika kenge mmoja akibwatuka
Hahha anaogopa kutangulizwa kwenda kuonana na JIWE πππ kuna watu wakimuamulia hachukui raundi.Mara ya mwisho nimemsikia Mh. akisema hataongea tena bali kalamu itafanya kazi, leo vipi tena, kalamu imeisha wino?
Watasema tu mbona?Kumbe ufisadi mkubwa ulianzia awamu ya tano ya Mungu wa Chatoπππ
View attachment 2032553
Hivi kuna kundi la ovyo zaidi ya kundi lililobuni kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe? Kesi ambayo imeivua nguo CCM na Serikali yake mchana kweupe kiasi tumefikia kuwajua hata wasiojulikana na mbinu zao?"Kuna makundi wanajua wanayoyafanya ndani ya serikali, na yanageuka kusema serikali ya awamu ya 6 ufisadi umerudi mambo yako hovyo kumbe wao ndio wako hovyo, mambo hayo yalifanyika huko nyuma, gari bovu linaangushiwa awamu ya 6 sitakubali"@SuluhuSamia Bandarini Leo https://t.co/2LreQmIlmkView attachment 2032536
Hapo mwisho hapo.....[emoji1787]Bibi tozo usituchoshe. Hatutaki drama.
Umetubomolea vibanda wamachinga β Kwanza nina hasira sana na wewe. Kaa kimya na ushungi wako.
Bei za bidhaa ziko juu, gesi juu, mafuta juu, sukari juu.
Umeme wa mgao, maji tabu, umeua miradi wa umeme... Bwawa la Nyerere etc. Tozo kila mahali.
Umetuletea machanjo ya ajabu ajabu. YAANI WEWEEE.... i wish niku....
Mama yamemvuka madaraka.Sasa kama wako hovyo mbona anawaacha tu waendelee kufanya mambo ya hovyo?
Maana kama wako hovyo halafu hawako kwenye utumishi, shida iko wapi?
Kama wako hovyo, badala ya kulalamika, awapige chini. Wananchi walalamike na rais naye alalamike? Mantiki ya uongozi inapotelea mbali.
Hao wanaugua kipindupindu sijui kama watapona wamecheleweshwa kupelekwa hospitalini.Kwani Elitwege na johnthebaptist wanasemaje?
Anaboa sanaHuyu mama kama una akili timamu huwezi kumsikiliza hata kwa dakika 5
Ameshaishiwa pumzi na bado anataka 2025 apitishwe tena.Mama yamemvuka madaraka.
Analalamika badala ya kuchukua hatuaa
Ni mweupe sana kichwani
Bibi makiki πππHuyu mama kama una akili timamu huwezi kumsikiliza hata kwa dakika 5
Kucha zenyewe anazipaka rangi unategemea nani aziogope?Mama wewe ni Rais, hebu onesha makucha ya uRais...
Halafu ukiyaonesha makucha baadaye tena muanze kulalamaMama wewe ni Rais, hebu onesha makucha ya uRais...