Rais wa JMT akemea makundi yanayodai ufisadi umerudi. Je, ni makundi gani?

Kama ameona jinsia ya kike haimsaidii abadilishe.
 
Kibanda ulichojenga nani alikupa ruhusa ya kukijenga?. Gwaride la kawaida tu, ni mwengo wa mguu sawa.
 
Watakuwa Sukumagang na ChaGadema tu.....Mama Samia Watimue na wakae jela wasikusumbue
 
Anakemea ufisadi au anakemea wanaomtaarifu kwamba ufisadi umerejea? Hapo tuwekane sawa

Ufisadi awamu ya sita umeongezeka mara mia tano zaidi ya awamu zote huku wenye nacho wakineemeka na maskini kuzidi kuisoma namba
 
Hivi kweli unamteua MaRope kama waziri kwanini tusikuhisi vibaya,
 
Hili lipo na linawezekana,ila subiri 2024 tukikaribia uchaguzi JPM ataimbwa sana na tutaenda sana ziara chato

Si inajua uchaguzi bila machinga hauendi.
 
MaCHADEMA yatake yasitake mama tunamuongezea muda
 
Kibanda ulichojenga nani alikupa ruhusa ya kukijenga?. Gwaride la kawaida tu, ni mwengo wa mguu sawa.
Kwahiyo nikale wapi?

Anipe ajira basi!

Watu tunapambana kutafuta kuendesha maisha yeye anatuma migambo kutubomolea biashara zetu?
 
Hayo pia atasema ameyarithi anafikiri Watanzania hawakuwepo kwenye hizo awamu.

Labda anaongelea awamu ya Msoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…