Rais wa Korea Kusini atangaza utawala wa Kijeshi kuanzia leo Desemba 3, 2024. Avunja Bunge, Serikali inapingwa na wananchi

Rais wa Korea Kusini atangaza utawala wa Kijeshi kuanzia leo Desemba 3, 2024. Avunja Bunge, Serikali inapingwa na wananchi

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Muda mchache uliopita Rais wa Korea kusini ametangaza Hali ya hatari na kusema kuanzia Leo serikali inaongozwa chini ya sheria ya kijeshi, amevunjwa Bunge , vyombo vyote vya habari vipo chini ya serikali, hakuna maandamano Wala shughuli zozote za kisiasa.

Inasemekana wabunge wa upinzani ambao ndio wengi wanaipinga serikali na Rais ametangaza kuwa North Korea amepenyeza mamluki Serikalini ambao wanataka kuipindua serikali yake na kuweka utawala wenye itikadi za Kim jong UN Rais wa Korea kaskazini.

Hivi sasa mitaani ni Jeshi linashika doria na kusimamia shughuli zote za serikali.
=======
==

South Korea’s president has declared emergency martial law, accusing the opposition of antistate activities.

While making the announcement on Tuesday, President Yoon Suk-yeol said he will rebuild a free and democratic country through martial law.

“To safeguard a liberal South Korea from the threats posed by North Korea’s communist forces and to eliminate antistate elements … I hereby declare emergency martial law,” Yoon said in a live televised address.

“This is an unavoidable measure to ensure the freedom and safety of the people and guarantee the sustainability of the nation against the unrest stirred by these subversive, antistate elements.

“The National Assembly has also completely cut budgets essential for national operations, drug crime prevention and public safety, undermining the core functions of the state. This has left our citizens in a state of chaos with the nation becoming a haven for drugs and public safety collapsing.”

According to local news outlet Yonhap, entrance to the National Assembly was sealed and parliamentarians have been barred from entering the building.

General Park An-soo, the martial law commander, announced a number of measures under the declaration, including prohibitions on all political activities, “including those of the National Assembly, local councils, political parties, and political associations, as well as assemblies [and] demonstrations”.

The order prohibited labour strikes and slowdowns, as well as “gatherings that incite social disorder”. It further stated that all media will be placed under the control of the Martial Law Command.

“Any acts that deny or attempt to overthrow the liberal democratic system, as well as the dissemination of fake news, manipulation of public opinion, or false propaganda,” the order said.

Chanzo: aljazeera.com
Screenshot_20241203-184542.png
 
Shughuli zote za kisiasa zimepigwa marufuku nchini Korea Kusini kufuatia Rais wa nchi hiyo Yoon Suk Yeol kutangaza kuwa nchi itakuwa chini ya uanagalizi wa jeshi na vyombo vyote vya habari vitafuatiliwa.
IMG_1201.jpeg

Kupitia hotuba yake iliyorushwa kwenye televisheni, Yoon amesema "Ili kuilinda Korea Kusini iliyo huria dhidi ya vitisho vinavyoletwa na vikosi vya Korea Kaskazini ni lazima waondoe waasi wanaoipinga serikali na ninatangaza nchi itakuwa chini ya sheria za kijeshi,"
IMG_1200.jpeg

Hatua hiyo inajiri baada ya Rais huyo kuwaita wapinzani ni vikosi vinavyopinga serikali kuwa wana nia ya kuupindua utawala wake.

==

South Korea’s president has declared emergency martial law, accusing the opposition of antistate activities.

While making the announcement on Tuesday, President Yoon Suk-yeol said he will rebuild a free and democratic country through martial law.

“To safeguard a liberal South Korea from the threats posed by North Korea’s communist forces and to eliminate antistate elements … I hereby declare emergency martial law,” Yoon said in a live televised address.

“This is an unavoidable measure to ensure the freedom and safety of the people and guarantee the sustainability of the nation against the unrest stirred by these subversive, antistate elements.

“The National Assembly has also completely cut budgets essential for national operations, drug crime prevention and public safety, undermining the core functions of the state. This has left our citizens in a state of chaos with the nation becoming a haven for drugs and public safety collapsing.”

According to local news outlet Yonhap, entrance to the National Assembly was sealed and parliamentarians have been barred from entering the building.

General Park An-soo, the martial law commander, announced a number of measures under the declaration, including prohibitions on all political activities, “including those of the National Assembly, local councils, political parties, and political associations, as well as assemblies [and] demonstrations”.

The order prohibited labour strikes and slowdowns, as well as “gatherings that incite social disorder”. It further stated that all media will be placed under the control of the Martial Law Command.

“Any acts that deny or attempt to overthrow the liberal democratic system, as well as the dissemination of fake news, manipulation of public opinion, or false propaganda,” the order said.

Chanzo: aljazeera.com
 
The world will be in full fledged war from 2025 on ...

Feelings of Nationalism and Grandiosity among nations will escalate as Trump take over the State...

Hizo ni rasha rasha za kudhibiti maandamano wanataka kumchomoa Presida..... Bado N.Korea hajaleta noma yake hapo.
 
Wanatakiwa wapambane na hali zao wasisikilize propaganda za wamarekani wakalitia taifa lao matatizoni. Wameshapiga hatua wakae wale matunda hizi siasa nyingine hazina faida yoyote
Rais wao analeta ukibaraka kwa Marekani wabunge wamepinga hilo na Kim amesema wakicheza atachafua Hali ya hewa
 
Muda mchache uliopita Rais wa Korea kusini ametangaza Hali ya hatari na kusema kuanzia Leo serikali inaongozwa chini ya sheria ya kijeshi, amevunjwa Bunge , vyombo vyote vya habari vipo chini ya serikali, hakuna maandamano Wala shughuli zozote za kisiasa.

Inasemekana wabunge wa upinzani ambao ndio wengi wanaipinga serikali na Rais ametangaza kuwa North Korea amepenyeza mamluki Serikalini ambao wanataka kuipindua serikali yake na kuweka utawala wenye itikadi za Kim jong UN Rais wa Korea kaskazini.

Hivi sasa mitaani ni Jeshi linashika doria na kusimamia shughuli zote za serikali.
=======
==

South Korea’s president has declared emergency martial law, accusing the opposition of antistate activities.

While making the announcement on Tuesday, President Yoon Suk-yeol said he will rebuild a free and democratic country through martial law.

“To safeguard a liberal South Korea from the threats posed by North Korea’s communist forces and to eliminate antistate elements … I hereby declare emergency martial law,” Yoon said in a live televised address.

“This is an unavoidable measure to ensure the freedom and safety of the people and guarantee the sustainability of the nation against the unrest stirred by these subversive, antistate elements.

“The National Assembly has also completely cut budgets essential for national operations, drug crime prevention and public safety, undermining the core functions of the state. This has left our citizens in a state of chaos with the nation becoming a haven for drugs and public safety collapsing.”

According to local news outlet Yonhap, entrance to the National Assembly was sealed and parliamentarians have been barred from entering the building.

General Park An-soo, the martial law commander, announced a number of measures under the declaration, including prohibitions on all political activities, “including those of the National Assembly, local councils, political parties, and political associations, as well as assemblies [and] demonstrations”.

The order prohibited labour strikes and slowdowns, as well as “gatherings that incite social disorder”. It further stated that all media will be placed under the control of the Martial Law Command.

“Any acts that deny or attempt to overthrow the liberal democratic system, as well as the dissemination of fake news, manipulation of public opinion, or false propaganda,” the order said.

Chanzo: aljazeera.com
View attachment 3168213
Amehisi au amepata taarifa za, kiintelijensia kuwa ndani ya serikali, kwa maana yq watumishi wa umma,mawaziri,kuna ambao ni ma agent wa North Korea, wanafanya ujasusi wa ku destabilize nchi kwa niaba ya North Korea! Kama ilivyo bongo, wajomba zangu kutoka kwa anko PK tumejaa kila Kona, ukituona, unatuita hawa si wana, au wa haya, au wanyambo, sie ni wale wale tu, kuanzia Rwanda, Burundi, Uganda, Tunaongea lugha moja, ni sawa na Mmarekani na Mkanada,
 
Back
Top Bottom