Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Amemaliza mwendooi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UmeulizwaHeri yake hata amefikaa 95 ,,,,mm Bado km 65 nifikee halipofikaa yy 🤔.
R.i.p mheshimiwa marehemu
👧Kama naona sasa Marais wapenda safari wanavyoanza kujiandaa kwenda msibani, kila MTU na dege lake
Yeah, hakika apumzikeapumzike kwa amani, ndio dua yetu kwake inayo mfaa kwa wakati huu.
ninapo waona watu hawa naona ile pan africanism
Yani wewe unawaza u-handsome badala ya kulia babu yako ka-go mbele za haki?Subhanaallah!Amekufa na uhandsome wake, ngozi nyororo haina mikunjo..!
Hatimae miongoni mwa true freedom fighters ameitwa kupumzika usiku wa kuamkia tarehe 09/02/2025 akiwa na umri wa miaka 95.
Tusalimie Nyerere, Mugabe, Mandela na wengine, waambie Waongee na Kaguta Museveni aachie Vijana View attachment 3229991
Umeiweka vyema kwa kikristoR.I.E.P President Sam Nujoma, one of the last pan africanists, true patriots and real sons of Mother Africa!
Sasa hii uliyotupa ndiyo chai ya "mdalasini" iliyomiksiwa na mawese.Na baadaye tutashushia juusi ya bamia.Kuna mtu alisema barabara inayoanzia Ubungo mataa hadi Mwenge inaitwa Sam Nujoma ukazuka ubishi mkali wa kufa mtu, wakamuuliza wewe unayebisha tupe jina la barabara hiyo akasema inaitwa Sir Mwinyi Juma 🤣🤣
Kumbe huyu mzee alikuwa hai. Alikuwaga amejichimbia wapi mana alikuwa hata hasikiki kwenye mapatanisho mbalimbali AfrikaHatimae miongoni mwa true freedom fighters ameitwa kupumzika usiku wa kuamkia tarehe 09/02/2025 akiwa na umri wa miaka 95.
Tusalimie Nyerere, Mugabe, Mandela na wengine, waambie Waongee na Kaguta Museveni aachie Vijana View attachment 3229991
Katika kizazi cha real freedom fighters wamebakia Joachim Chissano na Yoweri Kaguta Museveni basi !RIP
Kizazi cha Mwl. Nyerere ndio kinaishia hivi
Hakutaka UJINGA wa Vijana wajuajiKumbe huyu mzee alikuwa hai. Alikuwaga amejichimbia wapi mana alikuwa hata hasikiki kwenye mapatanisho mbalimbali Afrika
si mtu wa kigoma kweli huyo jamaa?Kuna mtu alisema barabara inayoanzia Ubungo mataa hadi Mwenge inaitwa Sam Nujoma ukazuka ubishi mkali wa kufa mtu, wakamuuliza wewe unayebisha tupe jina la barabara hiyo akasema inaitwa Sir Mwinyi Juma 🤣🤣
Hakika, na ifanyiwe usafiKumuenzi, barabara ya Mwenge Tazara ifungwe leo.