didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Kama kawaida kaanza yeye ila mkewe bado yupo daah ila pumziko jema mwamba na barabara yenye jina lako leo iwekwe bendera nyekundu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Musevini, kagame,Duh kumbe rais kama Hawa bado walikuwepo ambao walipigania nchi zao, hivi Kuna wengine waliobaki tujuzane waungwana
Museveni siyo freedom fighterKatika kizazi cha real freedom fighters wamebakia Joachim Chissano na Yoweri Kaguta Museveni basi !
Hawa ni waroho wa madaraka tu ndiyo wamekuwa ving'ang'anizi.Musevini, kagame,
kiongozi haujui hao ndo wanaombea tutangulie? au kikao cha mwisho hukuwepo?Ila mke wake yupo?? wa nyerere yupo wa mkapa yupo wa magu yupo yule wa zanzibar yupo WANAUME TUNAKOSEA WAPI,,,??
Sema atakua bibi sanaKama kawaida kaanza yeye ila mkewe bado yupo daah ila pumziko jema mwamba na barabara yenye jina lako leo iwekwe bendera nyekundu
Huko boarding school mnaruhusiwa simu nakuingia mtandaoni.Acha uchawi Jombisi.