TANZIA Rais wa kwanza wa Namibia Sam Nujoma amefariki akiwa na umri wa miaka 95
Duh kumbe rais kama Hawa bado walikuwepo ambao walipigania nchi zao, hivi Kuna wengine waliobaki tujuzane waungwana
 
Ukiwa huna DHAMBI, Unakufa unatabasamu! Ngoja nitafute picha ya Yule Askari aliyefariki Jana tulinganishe
Ila Wewe Jamaa, PGO Watakutafuta
Yule Kamanda Jana Picture Yake Tu Imechafua Hali Ya Hewa Comment Chachu
 
Nyerere alituachia Muungano unatutesa hadi kesho, mwenzake ameiachia Namibia utajiri wa kudumu🙏
 
Back
Top Bottom