johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Majina ya Hassan na Rashid ni WandengerekoWakati Mwinyi anakwenda Zanzibar kufata elimu, huko palikuwa bila bila.++Zanzibar ilikuwa inaongoza kwa elimu Afrika chini ya sahara.
Nakufahamu nje ya JF, wadanganye wasiokufahamu.Hapana, si kweli. Nzi trace generations sita za ukoo wangu, zote zimetokea Kisiju na Bagamoyo.
Wewe kwenu wapi?
ubaguzi hapo ukowapi na weweee!....... hebu punguzeni upuuzi jamani.Kwa hiyo mwinyi mmemkataa? You guys wa visiwani mkiambiwa mna some form of ubaguzi mnakuwa wakali.
ππ Duuu.Humjui vizuri huyo ndio raisi wa kuzaliwa Zanzibar ila mwenye makazi bara kuliko kiongozi yeyote wa Zanzibar.
Retirement home yake yenyewe ameijenga bara.
Hayo mambo ya uzanzibari ushambenga tu. Hila βbi-tozoβ maisha yake ni bara.
Unamaanisha Elimu ya madarasa?Wakati Mwinyi anakwenda Zanzibar kufata elimu, huko palikuwa bila bila.++Zanzibar ilikuwa inaongoza kwa elimu Afrika chini ya sahara.
Alitia fora na alionesha umahiri mkubwa alipokuwa naibu Spika kwenye bunge la Katiba mpya ambalo lilikuwa kivutio kikubwa cha malumbano kwa wakati ule wa Kikwete. Hapo ndipo mama Samia Suluhu Hassan akapata kujulikana.
Ana picha ya wazazi wake tuione?Mama Kazaliwa Zanzibar na wazazi wake wote wamezaliwa Zanzibar, ndiyo Rais wa kwanza Mzanzibari wa asili.
Mimi sikutokea Tabora, kwetu Mkuranga na sijawahi kuishi Zanzibar, zaidi ya kwenda kutenbea tu.
Wewe una asili ya wapi?
Picha za wazazi wa Marais wote zipo, kwanini ya wazazi wa Samia hazipatikani popote?Picha sina, picha haikusaidii kitu.
Wewe kwenu wapi?
Ndo maana nikawa najiuliza mbona Mzee Mwinyi hakuuza Rasilimali za Tanganyika?? Kumbe Kwa sababu alikuwa ni MtanganyikaMzee Ali Hasssan Mwinyi hakuwa na asili ya Zanzibar, si kwa mama wala kwa baba. Kwao ni Mkuranga na alipelekwa Unguja kusoma tu.
Mama Samia Suluhu Hassa ana asili ya kuzaliwa Zanzibar na wazazi wake wote kuzaliwa Zanzibar.
Ma shaa Allah, ukiisoma historia yake utaona kuwa kila sehemu ya kazi aliyopitia aliifanya kwa uadilifu, uaminifu na welesi mkubwa na kuwa anapanda tu vyeo, mpaka akafikia kuwa Makamo wa Rais na ahatimae sasa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Alitia fora na alionesha umahiri mkubwa alipokuwa naibu Spika kwenye bunge la Katiba mpya ambalo lilikuwa kivutio kikubwa cha malumbano kwa wakati ule wa Kikwete. Hapo ndipo mama Samia Suluhu Hassan akapata kujulikana.
Naam, hakuna amabae alikuwepo wakati huo na hakumuona umahiri wake. Wengi wakawa wanajiuliza, nani huyu mwanamke?
Leo hakuna asiyemjuwa Tanzania hii na duniani kuwa ni Rais wakwanza Mwanamke Mzanzibari anaeiongoza Tanzania kwa umahiri mkubwa sana.
R zake nne anaziishi na hatetereki.
Mwenyezi Mungu amzidishie hekima na weledi atuongoze daima, akiwepo kwenye Uris na atapomaliza muda wake aendelee kutuongoza kwa hekima zake, kama afanyavyo Kikwete hivi sasa.
Mama Samia tunakuomba mapema uchaguzi mkuu utakapokwisha na panapo majaaliwa basi uhakikishe katiba inabadilishwa na Zaznzibar inajitawala yenye ili tusiwe kama mazayuni.
Watanganyika hatuna sababu ya kuitawala Zanzibar bali tuna kila sababu ya Zanzibar kurudisha utawala wake ulioondoshwa na wakoloni wa Kijerumani ili wapate kuiba vozuri mali za ardhi ya Zenjbar kihistoria.
Upo sahihi KABISA,Mzee Ali Hasssan Mwinyi hakuwa na asili ya Zanzibar, si kwa mama wala kwa baba. Kwao ni Mkuranga na alipelekwa Unguja kusoma tu.
Mama Samia Suluhu Hassa ana asili ya kuzaliwa Zanzibar na wazazi wake wote kuzaliwa Zanzibar.
Ma shaa Allah, ukiisoma historia yake utaona kuwa kila sehemu ya kazi aliyopitia aliifanya kwa uadilifu, uaminifu na welesi mkubwa na kuwa anapanda tu vyeo, mpaka akafikia kuwa Makamo wa Rais na ahatimae sasa ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Alitia fora na alionesha umahiri mkubwa alipokuwa naibu Spika kwenye bunge la Katiba mpya ambalo lilikuwa kivutio kikubwa cha malumbano kwa wakati ule wa Kikwete. Hapo ndipo mama Samia Suluhu Hassan akapata kujulikana.
Naam, hakuna amabae alikuwepo wakati huo na hakumuona umahiri wake. Wengi wakawa wanajiuliza, nani huyu mwanamke?
Leo hakuna asiyemjuwa Tanzania hii na duniani kuwa ni Rais wakwanza Mwanamke Mzanzibari anaeiongoza Tanzania kwa umahiri mkubwa sana.
R zake nne anaziishi na hatetereki.
Mwenyezi Mungu amzidishie hekima na weledi atuongoze daima, akiwepo kwenye Uris na atapomaliza muda wake aendelee kutuongoza kwa hekima zake, kama afanyavyo Kikwete hivi sasa.
Mama Samia tunakuomba mapema uchaguzi mkuu utakapokwisha na panapo majaaliwa basi uhakikishe katiba inabadilishwa na Zaznzibar inajitawala yenye ili tusiwe kama mazayuni.
Watanganyika hatuna sababu ya kuitawala Zanzibar bali tuna kila sababu ya Zanzibar kurudisha utawala wake ulioondoshwa na wakoloni wa Kijerumani ili wapate kuiba vozuri mali za ardhi ya Zenjbar kihistoria.
Ombi maridadi,sahihi na limetolewa kiheshima sana.Please kama una connection yoyote na bi mkubwa tunaomba utufikishie ujumbe na umwambie, tunamshukuru kwa uongozi wake kwa miaka hii aliyokua madarakani, ila mwakani tunaomba asigombee kwani tunataka mtu seriously ili tuijenge nchi yetu
Shule za Mama Samia ndio shule zipi?SGR umepanda?
Umeme wa Steigler unautumia?
Umemaliza sekondari au unasoma shule za mama samia?