DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Umenikumbusha mbali sanaRafiki yake Prof Kabudi Bin Majalala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha mbali sanaRafiki yake Prof Kabudi Bin Majalala.
Samia hata asipojiuzulu hawezi kushinda uchaguzi wowote kwenye ngazi yeyote hata ya mwenyekiti wa kijiji. She very incompetent.View attachment 2745249
Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina amejiuzulu baada tu ya kuthibitishwa rasmi kuwa mgombea katika uchaguzi wa Rais wa taifa hilo uliopangwa kufanyika Novemba 9, taarifa hii ni kwa mujibu wa mahakama ya kikatiba ya nchi hiyo.
Katiba ya Madagaska inamtaka kiongozi mkuu wa nchi anayetaka kugombea urais kujiuzulu kwanza.
Rajoelina alituma barua yake ya kujiuzulu kwa mahakama siku ya Jumamosi kufuatia uthibitisho wa kugombea kwake katika uchaguzi huo.
===========
Madagascar's President Andry Rajoelina has resigned after he was officially confirmed as a candidate in the Indian Ocean Island nation's presidential elections scheduled for November 9, according to the country's constitutional court.
Madagascar's constitution requires a sitting head of state who wants to contest a presidential election to first resign.
Rajoelina sent his resignation letter to the court on Saturday following confirmation of his candidature in the elections, the High Constitutional Court said in a statement late on Saturday.
The president of the senate is supposed to assume presidential powers when the head of state resigns but the court said the senate head, Herimanana Razafimahefa, had declined to take over.
"For personal reasons, he will not be able to fully exercise the responsibilities that the office of Head of State requires," the court said referring to Razafimahefa.
Instead, the court said, presidential power would now be exercised by the government collectively with the prime minister as the head.
Also on Saturday, Madagascar's High Court published the official list of presidential candidates. Of the 28 contenders, 13 were selected, including Rajoelina and two former presidents Marc Ravalomanana and Hery Rajaonarimampianina.
Madagascar is hoping for its third peaceful election since the upheaval of 2009, when Rajoelina ousted President Marc Ravalomanana in a coup, prompting an exodus of foreign investors from the Indian Ocean island.
REUTERS
unajua kuwa Freeman Mbowe ndio huwa anateua Sekretatiet ya kusimamia uchaguzi wa Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema tangu 2009?Ccm hawawezi hii.
Ulipima hio dawa au kuifanyia uchunguzi na kuthibitisha kuwa ni ulaghaiHuyo jamaa alitupotoshea sana viongozi enzi za magu na dawa zake kienyeji zisizo na uthibitisho wa kisayansi.
Mkuu,samahani kwani kipindi cha hicho ulikuwa na umri gani mpaka unauliza swali ambalo maabala kibao duniani ilitoa majibu?Ulipima hio dawa au kuifanyia uchunguzi na kuthibitisha kuwa ni ulaghai
Upuuzi upi hebu utajeKatiba ya hii nchi + ccm kuna upuuzi mwingi sana.