Nilimuona barabara ya nane Tanga akiwa anakunywa kahawa...itakuwa yupo na msafara wa fiestaJamaa wamemlowekea nguo
Kwenda lazima aende !Ndio maana Magu hakwenda huko!!
Ataenda Rwanda[emoji2]Kama ikiwa kweli basi jpm hawezi kusafiri nje ya nchi kamwe
Huyo yupo anakula kodi za wamalawi, Rais Magufuli tatizo lugha hamna lingine na nyinyi mnajua ukweliduhh!! ndiyo maana jpm hapendi viherehere vya kusafiri ona sasa!!!
Ikifika kesho hajaonekana basi Tume ya uchaguzi watangaze tarehe ya uchaguzi.Huyo yupo anakula kodi za wamalawi, ******************* tatizo lugha hamna lingine na nyinyi mnajua ukweli
Mh hii ndege si Bombardier Q400 ????????? ndo zinapotea mh cc mwenyekitiHapo akianga kuwa harudi tena
Mh hii ndege si Bombardier Q400 ????????? ndo zinapotea mh cc mwenyekitiHapo akianga kuwa harudi tena
Mmmh ! hata bure sipandiMh hii ndege si Bombardier Q400 ????????? ndo zinapotea mh cc mwenyekiti
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chooni haendi!Hivi JPM akizipata hizi atasafiri kweli ?
Usikute huyu jamaa wa Malawi yupo tu hapa Bongo anakula bata .[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chooni haendi!
Ngoja nikavae miwani labda sioni vizuri kilichoandikwa
Na hutosikia kwa macho mkuuDuh..!!!!!!! sijawahi kuona kwa maskio yangu..wallahi!
sent from my Motorolla bapa.