Rais wa Marekani Joe Biden akutana na kufanya kikao kizito na Viongozi wa dini ya Kiyahudi Ikulu ya White House jijini Washington

Rais wa Marekani Joe Biden akutana na kufanya kikao kizito na Viongozi wa dini ya Kiyahudi Ikulu ya White House jijini Washington

Nimeangalia kwenye tv
Basininaweza kua hawajaipost youtube au title sahihi nfo nakosa. Maana hiyo "the big picture" ni kama jina la makala linaloangazia mambo mbali mbali.

Hapa ya karibu nayoiona ni hii
Screenshot_20241010_094413_YouTube.jpg

Hiyo ya :how a zionist armed group...:
 
Lazima wainyenyekee maana uchumi wa USA kwa asilimia kubwa unashikiliwa na wahuni waliojipa Utukufu dunian wa kuamua mambo yawe vipi.

Utabishana vip na anayecontrol uchumi, media na kila kitu?, karibu kila secta,kampuni na institutes kubwa dunian zinamilikiwa na hao jamaa (wayahudi).

Watu wanadhani kwamba USA inaitetea israel kwa upendo tu, wala hakuna jambo kama hilo, ingekuwa hivyo basi USA ingewatetea raia wake wanaouana nchini mwake kwa umiliki haramu wa siraha, na kukomesha magenge ya uhalifu.

Lkn why israel? Jibu ni kuwa wanapata sababu ya kuicontrol middle east kupitia ilo taifa bandia, wanacontrol muenendo wa resources ya mafuta hapo middle east ambayo kwa asilimia kubwa mafuta hayo yanauzika dunia nzima, kucontrol nguvu ya kidola dhidi ya upinzani wa mwarabu&muajemi.

pia israel kuwepo hapo ni faida kwa maendeleo ya kipropaganda kwa kuwacontrol slaves wao ambao bado wanaamini ktk dini haswa zinazohusiana na chimbuko la ibrahimu.

Kiufupi hao jamaa hawatoondoka hapo leo wala kesho maana plan zao ni kuongeza ukubwa wa nchi yao kwa njia yoyote ile, na sasa ni mwanzo tu, wataibua kila chokochoko mpaka watimize watakalo, na wanaweza maana hakuna mtetezi dunian, wala hakuna wa kuwapinga kivitendo, zaidi ya unafiki wa wanasiasa.

Israel ni taifa bandia la baadhi ya makabila ya wazungu waliohamisha jamii zao kutoka ulaya kuja Middle east kwa madhumuni yao, hawahusian na biblia wala quran, msidanganywe.
Ukweli ni mchungu sana mkuu👊
 
Lazima wainyenyekee maana uchumi wa USA kwa asilimia kubwa unashikiliwa na wahuni waliojipa Utukufu dunian wa kuamua mambo yawe vipi.

Utabishana vip na anayecontrol uchumi, media na kila kitu?, karibu kila secta,kampuni na institutes kubwa dunian zinamilikiwa na hao jamaa (wayahudi).

Watu wanadhani kwamba USA inaitetea israel kwa upendo tu, wala hakuna jambo kama hilo, ingekuwa hivyo basi USA ingewatetea raia wake wanaouana nchini mwake kwa umiliki haramu wa siraha, na kukomesha magenge ya uhalifu.

Lkn why israel? Jibu ni kuwa wanapata sababu ya kuicontrol middle east kupitia ilo taifa bandia, wanacontrol muenendo wa resources ya mafuta hapo middle east ambayo kwa asilimia kubwa mafuta hayo yanauzika dunia nzima, kucontrol nguvu ya kidola dhidi ya upinzani wa mwarabu&muajemi.

pia israel kuwepo hapo ni faida kwa maendeleo ya kipropaganda kwa kuwacontrol slaves wao ambao bado wanaamini ktk dini haswa zinazohusiana na chimbuko la ibrahimu.

Kiufupi hao jamaa hawatoondoka hapo leo wala kesho maana plan zao ni kuongeza ukubwa wa nchi yao kwa njia yoyote ile, na sasa ni mwanzo tu, wataibua kila chokochoko mpaka watimize watakalo, na wanaweza maana hakuna mtetezi dunian, wala hakuna wa kuwapinga kivitendo, zaidi ya unafiki wa wanasiasa.

Israel ni taifa bandia la baadhi ya makabila ya wazungu waliohamisha jamii zao kutoka ulaya kuja Middle east kwa madhumuni yao, hawahusian na biblia wala quran, msidanganywe.
Mkuu Umedadavua vzr. Ndo maana Netanyahu anakuwa na kiburi, jeuri na hata kumgomea Rais wa marekani ktk baadhi ya mambo coz ana power kubwa nyuma yake.

Na Rais yeyote wa US kwenda Israel mara Kwa mara imekuwa kawaida sana inaonekana inamlazimu afanye hivyo coz no way out. Huyu Antony Blinken secretary of state ameshaenda Israel zaid ya mara 10 ndan ya mwezi mmoja.

Nilikuwa najiuliza Kuna nini Pale Israel? Sasa nimeelewa.
 
Mkuu Umedadavua vzr. Ndo maana Netanyahu anakuwa na kiburi, jeuri na hata kumgomea Rais wa marekani ktk baadhi ya mambo coz ana power kubwa nyuma yake.

Na Rais yeyote wa US kwenda Israel mara Kwa mara imekuwa kawaida sana inaonekana inamlazimu afanye hivyo coz no way out. Huyu Antony Blinken secretary of state ameshaenda Israel zaid ya mara 10 ndan ya mwezi mmoja.

Nilikuwa najiuliza Kuna nini Pale Israel? Sasa nimeelewa.
Angalia mabilonea wa dunia ambaonni Wayahudi hapa:-
Screenshot_20241010_113323_Chrome.jpg
 
Unaweza kujiuliza why hizi nchi za wazungu wanachukulia kwa uzito sana suala la israel, wanajali sana mambo yake kuliko hata wanavyowajali raia wao.

Imefika wakati kwamba hata kumtusi muisrael ktk hicho nchi haswa USA,UK, France ni kama dhambi au kosa, kwamba hiyo jamii haikosei?

Taifa ambalo nchi kubwa zinavumilia ushenzi wake na udharimu wake bila kufanya lolote na wakizidi kuubariki ushenzi wa hiki kitaifa.

ukienda ndani zaidi unagundua kuwa israel ni man made terrorist country, taifa lililoundwa na hawa wanaocontrol everything hapa dunian, ndiomaana ukiwaongelea vibaya tu wanaruka nawewe.

Bahat mbaya huku ktk nchi za wapumbavu hasa Afrika, hawajui siasa za dunia zinakwenda vipi, wao wanaendeshwa na mihemko ya kidini, kisiasa na kipropaganda kutoka ktk media.

Tumekazana mitandaoni&mitaani kuvurugana na kubishania ugomvi usiotuhusu, kumbe nyuma ya pazia hayo mambo yana plan&agenda zake ambazo zimefichwa kupitia dini&siasa uchwara.

Wakristo kwa waislam mnachoshana bure acheni kulaumiana kuhusu mgogoro wa palestina&israel maana hauwahusu, huo mgogoro umeundwa makusudi kwa malengo maalum, hauhusu dini zaidi zaidi viongozi wenu wapumbavu wa kidini wanawadanganyeni na kuwaingiza mkenge mjihusishe na hiyo migogoro mkidhani inaendana na masimulizi ya dini zenu bandia.

Mnapoteza muda bure mnapoiombea israel/palestina maana maombi yenu ni unafiki, mnawaacha ndugu zenu Congo, Sudan n.k mnakimbilia sehem zisizo wahusu?.

Amkeni enyi vilaza

View attachment 3120411
Waambie wanakondoo ndio hawana ubongo
 
Wakristo ndio dini ya vituko duniani
Wanawacheka waislam kufuga ndevu huku wayahudi wakifuga
Wanatuita wavaa kobazi ,akati hizo kobazi ndio yesu na akina yakobo ,Paulo etc ndio walikua wanavaa
 
Iran alivyotulia kama hayupo ila waseme tu suu waone
 
Wadau hamjamboni nyote?

View attachment 3120399

Taarifa rasmi kutoka Ikulu ya white house

Rais wa taifa la Marekani Joe Biden amefanya kikao na waheshimiwa Viongozi wa dini ya kiyahudi - Judaism

Kikao hicho kilihudhuriwa na watu wachache sana maalumu.

Maelezo zaidi kuhusu kikao nyeti yatatolewa.

Mungu ibariki Israel
Mungu ibariki Marekani

Niwatakie usiku mwema
Hichi kikao kilikuwa ni kumjadili Iran tu na nguvu yake aliyonayo na ukweli kwamba US hawawezi kuvumilia vita vyingine vipya ukiacha Ukraine na Russia kwa sasa, hivyo Israel wametakiwa kutulia kama maji mtungini ili taifa lao libaki salama na mara wakijaribu kupambana na Iran kichwa kichwa Israel itapotezwa kwenye ramani ya dunia na mashariki ya kati watabaki wenyewe wazawa chokochoko za mayahudi na mazayuni itakuwa imefikia mwisho wake.

Na pia Israel wamejulishwa kwamba ile mistari ya kwenye biblia kwamba Israel ni taifa la mungu ni mistari feki iliwekwa ni wazungu na US baada World War II kwa mikono yao ili Israel ipate kuungwa mkono na kupata heshima duniani, na kwamba ile ahadi ya kwamba taifa la Israel itafika muda litasambaratika huenda huo muda umefika kwahiyo watulie tu kwa usalama wao.

Pia wamejulishwa hofu kubwa iliyopo kwamba huenda Iran nyuma yake kuna Russia, North Korea na China hivyo msala hautaka mdogo, pia wamejulishwa kuhusu base za US zilizopo mashariki ya kati itakuwa haziko salama tena na itakuwa ni dalili tosha US kukosa nguvu mashariki yaki kama ilivyokuwa adhima yao kuitawala Middle East., lakini on top of that wamejulishwa pia kwamba vita ikianza Biden na Kamala wataramba mchanga uchaguzi unaokuja na badala yake Trump atachukua nchi jambo ambalo pia Wamarekani wanahofu kubwa kutokumuamini Trump huenda marekani isiwe salama tena.
 
Unaweza kujiuliza why hizi nchi za wazungu wanachukulia kwa uzito sana suala la israel, wanajali sana mambo yake kuliko hata wanavyowajali raia wao.

Imefika wakati kwamba hata kumtusi muisrael ktk hicho nchi haswa USA,UK, France ni kama dhambi au kosa, kwamba hiyo jamii haikosei?

Taifa ambalo nchi kubwa zinavumilia ushenzi wake na udharimu wake bila kufanya lolote na wakizidi kuubariki ushenzi wa hiki kitaifa.

ukienda ndani zaidi unagundua kuwa israel ni man made terrorist country, taifa lililoundwa na hawa wanaocontrol everything hapa dunian, ndiomaana ukiwaongelea vibaya tu wanaruka nawewe.

Bahat mbaya huku ktk nchi za wapumbavu hasa Afrika, hawajui siasa za dunia zinakwenda vipi, wao wanaendeshwa na mihemko ya kidini, kisiasa na kipropaganda kutoka ktk media.

Tumekazana mitandaoni&mitaani kuvurugana na kubishania ugomvi usiotuhusu, kumbe nyuma ya pazia hayo mambo yana plan&agenda zake ambazo zimefichwa kupitia dini&siasa uchwara.

Wakristo kwa waislam mnachoshana bure acheni kulaumiana kuhusu mgogoro wa palestina&israel maana hauwahusu, huo mgogoro umeundwa makusudi kwa malengo maalum, hauhusu dini zaidi zaidi viongozi wenu wapumbavu wa kidini wanawadanganyeni na kuwaingiza mkenge mjihusishe na hiyo migogoro mkidhani inaendana na masimulizi ya dini zenu bandia.

Mnapoteza muda bure mnapoiombea israel/palestina maana maombi yenu ni unafiki, mnawaacha ndugu zenu Congo, Sudan n.k mnakimbilia sehem zisizo wahusu?.

Amkeni enyi vilaza

View attachment 3120411
Dahh umeongea points sana mkuu... Kwa bahati mbaya hapa Africa hatuna akili.

Ukiangalia tu ushabiki wa Palestina and israel hapa jf, utajua kabisa vichwa vyetu vina utindio wa ubongo
 
Wew Lete taarifa za kuuwawa kwa magaidi yenye mlengo wa kidini achana na Biden. LETE HABARI ZA KUSISIMUA NA KUFURAHISHA KAMA KAWAIDA YAKO
 
Wadau hamjamboni nyote?

View attachment 3120399

Taarifa rasmi kutoka Ikulu ya white house

Rais wa taifa la Marekani Joe Biden amefanya kikao na waheshimiwa Viongozi wa dini ya kiyahudi - Judaism

Kikao hicho kilihudhuriwa na watu wachache sana maalumu.

Maelezo zaidi kuhusu kikao nyeti yatatolewa.

Mungu ibariki Israel
Mungu ibariki Marekani

Niwatakie usiku mwema

Ameongea nini na marabi huyu m'babu?
 
Hezbolah na Hamas ni magaidi,,kwahiyo mtu mwenye akili timamu hawezi unga mkono magaidi
 
Lazima wainyenyekee maana uchumi wa USA kwa asilimia kubwa unashikiliwa na wahuni waliojipa Utukufu dunian wa kuamua mambo yawe vipi.

Utabishana vip na anayecontrol uchumi, media na kila kitu?, karibu kila secta,kampuni na institutes kubwa dunian zinamilikiwa na hao jamaa (wayahudi).

Watu wanadhani kwamba USA inaitetea israel kwa upendo tu, wala hakuna jambo kama hilo, ingekuwa hivyo basi USA ingewatetea raia wake wanaouana nchini mwake kwa umiliki haramu wa siraha, na kukomesha magenge ya uhalifu.

Lkn why israel? Jibu ni kuwa wanapata sababu ya kuicontrol middle east kupitia ilo taifa bandia, wanacontrol muenendo wa resources ya mafuta hapo middle east ambayo kwa asilimia kubwa mafuta hayo yanauzika dunia nzima, kucontrol nguvu ya kidola dhidi ya upinzani wa mwarabu&muajemi.

pia israel kuwepo hapo ni faida kwa maendeleo ya kipropaganda kwa kuwacontrol slaves wao ambao bado wanaamini ktk dini haswa zinazohusiana na chimbuko la ibrahimu.

Kiufupi hao jamaa hawatoondoka hapo leo wala kesho maana plan zao ni kuongeza ukubwa wa nchi yao kwa njia yoyote ile, na sasa ni mwanzo tu, wataibua kila chokochoko mpaka watimize watakalo, na wanaweza maana hakuna mtetezi dunian, wala hakuna wa kuwapinga kivitendo, zaidi ya unafiki wa wanasiasa.

Israel ni taifa bandia la baadhi ya makabila ya wazungu waliohamisha jamii zao kutoka ulaya kuja Middle east kwa madhumuni yao, hawahusian na biblia wala quran, msidanganywe.
Indeed
 
Back
Top Bottom