Rais wa Nchi anaitwa Nyapara! CHADEMA ni vyema muwadhibiti hawa vijana wenu akiwemo Mdude

Km bei ya mafuta kuwa juu kulko zanzibar! Tozo kujaa bara kulko zanzibar, serikali pendekezwa za katiba ya warioba zingepunguza uzandiki huo.

Sasa Kaka nyumba yenye familia ya watu kumi utalinganisha na nyumba yenye familia ya watu 50?

Hilo nalo mpaka katiba mpya?
 
Sasa Kaka nyumba yenye familia ya watu kumi utalinganisha na nyumba yenye familia ya watu 50?

Hilo nalo mpaka katiba mpya?
Unazungumzia nchi 2 tofauti au nchi moja? Ingekuwa hivyo basi marekani , china, urusi nchi kubwa zenye watu wengi zisingekuwa na uchumi mkubwa kulko zingine ndogo ndogo. 😁😁 hapo hujatumia fikra chanya, hujui kaya ya watu 50 mkienda hata shambani mtalima eneo kubwa kulingana na wingi wenu. Suala ni kujipanga kulingana na idadi yenu
 
Usipende kufafanuliwa kila kitu jiongeze na ww. Kwa hyo hujui maamzi ya rais kuwa yanayo impacts directly ama indirectly kwa wananchi?
hiyo katiba unayoitaka bila ufafanuzi hakunaga dunia nzima,shida na bahati mbaya wengi ni bendera fata upepo
 
Sasa Kaka nyumba yenye familia ya watu kumi utalinganisha na nyumba yenye familia ya watu 50?

Hilo nalo mpaka katiba mpya?
Tunachotaka ni serikali ya bara iwepo pia km zanzibar inahesabika km nchi. Huwez kumuumiza mtu mwingine kwa kivuli cha muungano ila baadae anayeumia mnakula nae sahani 1.
 
hiyo katiba unayoitaka bila ufafanuzi hakunaga dunia nzima,shida na bahati mbaya wengi ni bendera fata upepo
Hujaeleweka!! Bendera ni nyie mnaona katiba haina mashiko kwenye nchi. Mtaala wa elimu mnauona unahtaji marekebisho ila katba mnaona haina maana, mnazo akili kweli??!! Hela mlizopoteza kukusanya maoni kwa kitu kisichokuwa cha maana si mngezitumia kufanya mambo mengine huenda leo tozo zisingekuwepo.
 
 
CDM ikiingia.

Na haitaingia sasa, suala la ulaji hakuna anaeaminika, wengi wao wakishaingia tu wanawaza matumbo yao. So, chama kingine kikiingia usitegemee hapatakua na wizi, hii ndio Tanzania, hii ndio afrika, wachache wanaojitambua.

Bhujiku ng'waka, tolehoi kanda ya ziwa
 
Watanzania gani?. Uwafutie mikutano wapinzani miaka Saba halafu uwaeungue wote kwenye kugombea viti vyao halafu bado siku ya uchaguzi uzime internet kwa mwezi mzima. Ndio maana Kuna wengine walikufa vifo vya laana.
Umesema kweli tupu! Wahuni hao!
 
..Ccm wanaamini wana haki zote dhidi ya wapinzani, ikiwemo kuwatukana, na hata kuwauwa.

..mara nyingi utawasikia vijana wa Ccm wakitukana matusi makubwa makubwa viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani, na kutishia kuwadhuru au kuwauwa.
Lakini hayo mapimbi hayachukuliwi hatua yyt!
 
Ule ulikuwa uhuni wa jiwe wa kishamba Sana!
 
Bora wao hata kesi zinakuwepo kusilizwa uhalali wa uchaguzi kwa ngazi zote na mahakama inao uhalali wa kutengua matokeo!! We na nchi lako hyo hatua ipo? Kuna watu wako juu ya sheria hd mahakama ziko mifukoni mwao wao ndo mahakimu wa mwsho.
Tz ni nchi la hovyo Sana!
 
Mi ni muumini mkubwa wa nidhamu, no matter what, ikifika hali kama hili natamani angekuwepo yule jamaa!!!!
Kiongozi anaweza kuitwa jina lolote... Haki na sababu ya kuita anayo mwitaji.
Pili, kama umekwazika kiasi hicho kafungue kesi!
 
Mudude anaendelea Kupaza Sauti
Kina Mbowe, ZZK, Wamepotea Tuendelee kuumizwa to..View attachment 2338236
 
Kama Rais anatenda kama Nyapara unataka amuite jina gani!?

Waambieni na Wakemeeni Ma Rais wa Afrika wabadilike .. Urais sio ubabe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…