Rais wa Nchi anapofariki akiwa madarakani Nchi huwa katika nyakati za hatari zaidi kuliko wakati wowote ule

Rais wa Nchi anapofariki akiwa madarakani Nchi huwa katika nyakati za hatari zaidi kuliko wakati wowote ule

Sasa kwa mifano yote uliyotoa, mbona umetoa conclusion kwa kuangalia upande mmoja TU?

Kwamba, Magu amefariki na kwahiyo SSH na wenzake wasijisahau kwa kuona ndo wameshatusua?

Mbona umesahau uwezekano wa kwamba, hao wanaoangalia maslahi mapana ya taifa, ndio waliom-eliminate Mheshimiwa Magu kama alivyokuwa eliminated Rabin?

Na kwamba, endapo above scenario ndio the right one, basi hapo hakuna cha upelekezi wa kuangalia kifo wala nini cuz' MISSION ACCOMPLISHED?!
Mkuu ACHA kuhangaika na hayo ma assumption yasiyowezekana. Sio kwa nchi hii me nakwambia. Yani eti usalama ndio wamu eliminate rais kwa nchi yetu never I repeat never!

Sana sana watamnyenyekea na kujipendekeza TU ili ugali uwe assured kwa wao kuendelea kuwepo ndani ya idara. Hebu tu mfano mdogo we angalia tu wakuu wa idara jinsi wanavyobadilishwa kienyeji enyeji just tu rais atakavoamka siku hyo na kujisikia kumtoa na kumweka mwingne. Refer case ya kipilimba na huyu wa sasa diwani
Then refer utendaji kazi wa hawa wa chini, refer case ya nape kutishiwa bastola very unprofessionally!
Ndio nauliza usalama wa nchi hii wafanye hayo unayosema kwa maslahi ya nchi never na bado hatujafikia huko mkuu
We nikikuuliza tu swali dogo unadhani idara hii inaendeshwa kiuweledi mkuu utanijibu nn?
 
Mimi nimesoma lakini mpaka namaliza sijapata logic ya andiko lote...

Mathalani, sijaelewa unata wasomaji wako wapate ujumbe gani wenye manufaa kwao...

Nilichokiona ni unfounded empty threats tu...

What I understand, ni kuwa, misingi yote ya uongozi iko kikatiba. Namaana kuwa, katiba imeeleza mara Rais afapo akiwa madarakani nani atachukua madaraka hayo...

Hii sijui hatari, itakuwa hatari, patakuwa hatari inatoka wapi tena? Hii inaeezekana tu kama aliyekufa alikuwa anaongoza nchi kwa kutumia kichwa chake (yaani kidikiteta) na siyo kwa kufuata utaratibu wa kiemokrasia kwa mujibu wa katiba...

Huyo ndiyo alikuwa Magufuli...
 
Et naona umeandika kwa Hisia???


Hisia ni nn??

Andika uzi wako, uliouandika kwa kukaa nakutafakari, na upembuzi yakinifu na akili yote, utuletee hapa.


Hivi Hujui, Rais kutoka Nchi jirani anaweza tumiwa, kumuua Rais wa Nchi husika anayetakiwa Kufa?.
Umeelewa nilichoandika?Au umekurupuka tu?
 
Ukitoka ulimwengu ule huna tofouti na vifaranga walioachwa na mama yao kwa ufupi ni kama unayaanza maisha upya….
Maisha mapya ya uhuru na furaha.. Bila majukumu wala kuwajibika mahali.. Si ndio raha na kurelax kwenyewe?
 
Well mimi sio mtu wa idara na pia sio movie sio .penz wa mapicha ila napenda kujuwa kile kinaendelea duniani. Naomba kasome report ya kifo cha JF wa marekani, report ya kifo cha Isack Rabin na mwisho nokifumbue macho. Kama hujuwi basi ujuwe leo usiwe mshamba.
Wamarekani rafiki yao mkubwa ni Israel na UK hawa idara zao zina saidiana sana sana. Even kwenye matukio makubwa hawa wanasaidiana.
Tanzania tuna nchi tunasaidiana sana kwenye idara mfano kwa africa SA ni watu wetu, Hapo Mozambique ni watu wetu, zambia watu wetu Uganda watu wetu, Kenya ni marafiki zetu walisaidia sana vita ya uganda pia Kenya ni central or heaven of high profile intelligence unity usiniulize why... Zimbabwe wanatuheshim sana hapo Ethiopia, sudan kusin, Kongo kama ulikuwa hujuwi Tz is among the best intelligence agency in the world but is under ground. Nikianza kukupa madini utaniogopa nenda kakojowe kalale kama unafikiri taifa hili kuna vilaza basi pole.
Vitu unavyoandika mbona ni vya kufikirika na wala hakuna madini yeyote!Mi nataka uniambie JPM alivyofariki,vyombo vyetu vinashirikiana na nchi gani kuchunguza kifo hicho!Tena unasema hata Rais wa wakati huo mfano Samia anakuwa hajui!
Hapa unachoandika sio intel bali habari za kuokoteza tu!
 
Maisha mapya ya uhuru na furaha.. Bila majukumu wala kuwajibika mahali.. Si ndio raha na kurelax kwenyewe?

Si rahisi kusahau ile familia watu wengine wanachangiwa na kuwa mafukara wa maisha….

Si unamuona huyu mleta mada tangu atengwe amekuwa kama amerukwa na akili…
 
Uwenda watu wengi hawajuwi na huwenda wengi tunafikiri baada ya Rais wa Taifa kufa basi wakisha fukia na kupiga mizinga basi kazi imeisha. Na sasa kila mtu anaona kuna fursa basi aanze kupiga tarumbeta zake..
Jibu ni hapana.
Rais yeyote wa taifa anapo fariki Taifa huwekwa ktk hali ya hatari kwa kipindi kisicho julikana. Wakati huwo team ya watu maalumu inayo undwa na maofisa wa idara nyeti za usalama huwingia kazini na kuanza kutafuta tarifa nyeti na nzito ambazo hata yule alie kaimu huwenda hajuwi... Team hii ya makachero maalumu huwa na makachero maalumu kutoka idara nyeti za mataifa rafiki kufuwatilia sababu za kifo za Rais alie kuwa madarakani.
Kipindi chote cha upelelezi team hii ugawanyika ktk makundi yasiojulikana kuhakikisha yeyote alie ktk kikundi kile hatowi wala kuvujisha taarifa za siri kwa mtu au kikundi chochote. Nikipindi cha hatari na dhahima kwa yeyote anaye waingilia makachero hawa.
Nikipindi ambacho kama upo smart utasikia taarifa za vifo vya top government officer silence pasipo sababu zinajulikana ila moja wapo ni natural death. Alilala hakuamka, alikuwa kikao akasema hajisikii vizuri au covid19.

Niwakati wale walikuwa wandani wa Rais alie kufa hupita nyakati ngumu na mara nyingi kifo na uzima ubaki mikononi ya team inafuwatilia kifo cha rais. Sio wakati hata kama umepata nafasi ya juu sana unapaswa kuonyesha una hatamia au unaona kwako ni fursa maana unaweza kuwa mchawi pasipokujuwa mchawi na mwisho ukaingia ktk report ya siri ya usalama wa Taifa.
Labda niseme hapa kidogo ktk Taifa lolote lenye mifumo imara ya ulinzi hasa idara hii ya usalama wa Taifa nivigumu sana Rais wa nchi kuwa huru kama vile unasikia. Idara hii nyeti ya Taifa lolote huwa ni idara inayo angalia zaidi masilahi mapana ya Taifa na mara nyingi kama Rais wa taifa akienda kinyume na taratibu hii idara ubadilika kuwa adui wa siri wa kiongozi.
Labda nitoe mfano kule Israel mtendaji mkuu wa shughuli za taifa ni waziri mkuu. Waziri mkuu wa Taifa la Israel ni mtu mwenye nguvu sana na mpaka majeshi anaweza yapeleka vitani na kwa wenzetu wame advance huwezi fikia nafasi ya uwaziri mkuu kama hujafanya jambo zito lakijasiri kuitegea nchi yako. Una ambiwa kwa mfano waziri mkuu mstaafu Bwana Benjamin Netanyau ni moja ya mawaziri alie fikia level ya ukomandoo na sio tu komandoo tu jamaa na IQ 153 kama sijakosea yani ni moja ya mawaziri ana akili sana na sio hivyo tu ila kaka yake ni among most intelligent and among the special unity ktk kukomboa mateka kule uganda ila alikufa kwa bahati mbaya na mpaka leo taifa lina omboleza juu ya kifo chake.

Niende kwenye kile nataka kuwaambia kule israel alitokea waziri mkuu mmoja anaitwa Isack Rabin waziri mkuu huyu alifanya tukio ambalo kwa taifa la Israel nikuuwawa alifikiri kwa ushawishi aliokuwa nao na nguvu atawaunganisha Israel na Palestinian na kurudisha ardhi ya Palestinian. Jambo hili alofanikiwa ila aliporudi nyumbani Isack Rabin alipigwa Risasi na kufa hapo hapo na kijana alie kuwa ktk team ya wafuwasi wake.
Jambo la ajabu sana ktk tukio hili nikuwa kulikuwa na taarifa za siri sana kwamba kijana alie muuwa waziri mkuu alikuwa ni kijana alie pikwa kwa siri na team ya mossad ili kumu eliminate waziri huyu kwasababu alikuwa aki hatarisha masilahi mapana ya usalama wa Taifa hilo.
Mossad ni moja ya idara za usalama wa taifa la israel inayo ogopwa na mataifa hata makubwa na kama ulikuwa ujuwi idara hii inaheshimika mpaka na idara nyeti kama CIA, M16 ya UK pamoja na KJB nk. Idara hii haijawahi shindwa na data zake mara zote 100%
Mpaka leo kijana huyo yupo mahabusu na haijajulikana nani alie mtuma.

Rais wa Taifa kufa madarakani ni jambo lahatari sana maana huwa ni kama kibali cha kuuwa kwa jina la jamuhuri. Watu hufa watu hupotea kwa jina la jamuhuri niwakati hata wale wapo madarakani yawapasa kuwa makini na midomo yao ama mawazo yao. Niwakati ambao kama umepewa kurithi kiti basi kuongoza mka pale muda unaisha wa alie fariki nankukaa pembeni wenye nchi wamchaguwe wanaye mtaka ama usubiri kuona giza mbele kama giza liliwakumba watu wa zambia.

Sio muda eti kutangaza nia hapana epuka huwo mtego maana utaonekana mchawi. Nakufanya walio ktk upelelezi wa kifo cha Rais alie kufa kukuweka ktk list ya mambo yakuhisi.
Vyama vya upinzani nilazima kuwa makini hasa hiko kipindi maana unaweza jikuta mna hangaika na mtu msie muona why ni aina hii ya kazi ile team wanafanya.
Naandika haya kama elimu kwa watanzania na makada kujuwa hiki kipindi nikibaya sana kuunda makundi au kuanzisha vuguvugu la nani awe Rais nikitisho kwa usalama wa Taifa na Taifa.
NB
Ndugu msomaji huu uzi una nia moja kuwaelimisha watanzania kuepuka piga siasa wakati Rais ana fariki akiwa madarakani uzi huu hausiani na mtu au kikundi cha watu ktk siasa.
End
Unaangalia "movie" halafu unajijengea taswira na kututaka nasi tuijenge duuh😳😳😳 🤣🤣🤣

#NchiKwanza
#SiempreSerikaliMbiliZaJMT
 
Si rahisi kusahau ile familia watu wengine wanachangiwa na kuwa mafukara wa maisha….

Si unamuona huyu mleta mada tangu atengwe amekuwa kama amerukwa na akili…
Mwamba Kwa kufatilia post zake hajachanganyikiwa Kwa kutupwa nje.. Kinacho mchanganya ni Ile reason iliyotumika kumtoa nje..

Labda ilikuwa fedheha kwake au anaona hakutendewa haki..
 
Tangu Mama aapishwe kuwa Rais wa Jamhuri umekuwa mstari wa mbele sana kumtetea hata pale ambao hukosea? Nilikuwa nakuheshimu sana ila baada ya kugundua wewe ni mbinafsi na mdini nimekupuuza na hii ni kwa sababu wewe unatokea zanzibar.
Fair mkuu, huo ni uoni wako na sitoweza kukupinga.

Tukiongelea specifically issue iliyopo mezani na comment niliyoiweka ambayo ndiyo iliyokufanya uni-quote ni kwamba mleta mada hajamzungumzia Mama Samia popote pale. Ila anatokea mtu anamlisha maneno, I can't just keep quiet like it is ok.
 
Katika mambo yaliniachia majonzi Ni hilo la kujitangaza mapema namna hii eti atagombea kwa sababu amepata nafasi. Kufa kwa mwenzi ni fursa kwake kweli?
Nchi inabidi iendelee....

Taifa halifi......

#NchiKwanzaKablaYaNafsiZetu
#SiempreJMT
 
Hii kitu inayoitwa mfumo ni balaa sana.....
Yaani ukiupinga tu lazima ukutane na "imbombo ngafu"

Watu wanawabeza wa kwetu kwa kuwa tunawaona kama wanayumba ila ukiwa mfuatiliaji wa masuala ya kijasusi hata hao siaiei ni utopolo tu 😂😂😂......

Wanatengeneza mazingira uwaamini wao ni bora sanaaaaa kuliko kumbe ni wa kawaida tu...
 
Kwa lugha nyingine, wee hujui kitu, ila unataka jamaa akuandikieee yaan utoke na mambo


Kama ulitaka akuandikie kama kitabu , umuombe tu ,"Mkuu sijaelewa kitu, nieleweshe"
Na wewe naye ni kapuku tu,ukijazwa ujinga nawe unakwenda tu kama popo!
 
Punguzeni kuangalia movie sana!

1.Umejuaje hayo?Wewe ni mtu wa ndani?
-Kama siyo umejuaje?Nani kakuhadithia?
-Kama ndiyo,mbona umeandika shallow sana?Mtu wa ndani huwa anaandika facts zilizoshiba na sio blah blah za kuokoteza!

2.Eti usalama wanaunganisha nguvu na nchi jirani kufanya uchunguzi!Really?Yaani taifa lipate msiba wa Rais halafu muanze kualika vyombo vya nje kuja kushirikiana kuchunguza kifo?Ni kanuni ya nchi gani?Tz au nchi zote?

Nways,kwenye huu uzi naona umeandikwa kwa hisia zaidi!
Amesema mataifa rafiki
 
Back
Top Bottom