Rais wa nchi kuiita pesa ya nchi yake pesa ya madafu, kiongozi kweli huyo?

Rais wa nchi kuiita pesa ya nchi yake pesa ya madafu, kiongozi kweli huyo?

Hilo likuwa ni kuongozwa na wacheza segere na taarabu. Mwisho wake nchi imekuwa shamba la bibi kila mtu aliyeona ya kukwapua anakwapua tu

Duuu jamani huyo ni rais wetu mstaafu
 
Apige marufuku mauzo yote ndani ya nchi kufanywa kwa hela za kigeni. Hilo litasaidia sana kuipa thamani pesa yetu. Kwasasa wafanyabiashara wanauza kwa pesa za kigeni hata kwa vitu vya kawaida. Pia kodi za nyumba baadhi ya wenye nyumba wanalipwa kwa dola na mahotelini

Huo ni ukweli kabisa kwa sasa biashara ni dola
 
Mara kadha tulimsikia rais mstaafu mh. Kikwete akiita pesa ya Tanzania kuwa ni pesa ya madafu, kwa kweli nilikuwa naumia sana, nilikuwa naumia kwa kuwa nilikuwa najua madhara ya rais kudharau thamani ya pesa ya nchi yake na nafikiri tunaiona mwishoni mwa kipindi chake. Watu wanalipana kwa dora au Euro na si shilingi tena.
Magufuli usije ukafanya haka ka mchezo, pesa yetu ina thamani sana kama ikithaminiwa na kuheshimiwa

Jina hilo hata Nyerere aliliita, kuwa pesa yetu ni ya madafu. Unatuambiaje kuhusu Nyerere kuiita pesa yenye picha yake hivyo?
 
Mkwele tangu lini akawa na akili?

Yule mkweree alikuwa mwizi tu, anatakiwa baada ya muda aondolewe kinga halafu ashitakiwe kwa kutumia madaraka yake vibaya kuhujumu nchi!! Ndio maana aliipinga rasimu ya katiba ya Wariobakwa nguvu zake zote kwani alijua madudu aliyokuwa anafanya na wapambe wake.
 
Mara kadha tulimsikia rais mstaafu mh. Kikwete akiita pesa ya Tanzania kuwa ni pesa ya madafu, kwa kweli nilikuwa naumia sana, nilikuwa naumia kwa kuwa nilikuwa najua madhara ya rais kudharau thamani ya pesa ya nchi yake na nafikiri tunaiona mwishoni mwa kipindi chake. Watu wanalipana kwa dora au Euro na si shilingi tena.
Magufuli usije ukafanya haka ka mchezo, pesa yetu ina thamani sana kama ikithaminiwa na kuheshimiwa
Well said Mkuu pamoja sana
 
Mara kadha tulimsikia rais mstaafu mh. Kikwete akiita pesa ya Tanzania kuwa ni pesa ya madafu, kwa kweli nilikuwa naumia sana, nilikuwa naumia kwa kuwa nilikuwa najua madhara ya rais kudharau thamani ya pesa ya nchi yake na nafikiri tunaiona mwishoni mwa kipindi chake. Watu wanalipana kwa dora au Euro na si shilingi tena.
Magufuli usije ukafanya haka ka mchezo, pesa yetu ina thamani sana kama ikithaminiwa na kuheshimiwa
Yule bwana wa Msoga ameumiza wengi sana...
Walau sasa tuna Rais.
Mungu mlinde Magufuli.
 
Pesa ya madafu maana yake ni pesa inayopata thamani yake kutokana na uzalishaji wa ndani " madafu, pamba, kahawa etc", angetaka angesema "pesa ya kahawa" badala ya " pesa ya madafu"
 
Pesa ya madafu maana yake ni pesa inayopata thamani yake kutokana na uzalishaji wa ndani " madafu, pamba, kahawa etc", angetaka angesema "pesa ya kahawa" badala ya " pesa ya madafu"
Kwenda zako hapa, hiyo tafsiri yako ni kutokana na andiko lipi?
 
Khaa!! Jamani nyie wakimbizi nini? Hicho ni kiswahili safi kikiwa na maana pesa ya ndani ( local currency). Sasa Kama mnashindwa hata kuelewa maana ya pesa ya madafu basi idara ya uhamiaji inahusika :mvutaji:

Madafu ni nini? How come, President aidharau local currency kwa kuifananisha na dafu? Thamani ya nchi ni uimara wa sarafu yake, alishindwa kila kitu, apumzike, our Tshs itaimarika yeye mwenyewe ashangae
 
Jina hilo hata Nyerere aliliita, kuwa pesa yetu ni ya madafu. Unatuambiaje kuhusu Nyerere kuiita pesa yenye picha yake hivyo?

Samia Suluhu amekwenda Afrika kusini kumuwakilisha RAIS Magufuri kwenye mkutano wa marais, je Kikwete naye ni Rais? na amekwenda kule kumuwakilisha nani? kamwe nchi hatutompa tena mswahili mswahili, nyinyi kipaji chenu ni kucheza ngoma tu na siyo uongozi.
 
Mara kadha tulimsikia rais mstaafu mh. Kikwete akiita pesa ya Tanzania kuwa ni pesa ya madafu, kwa kweli nilikuwa naumia sana, nilikuwa naumia kwa kuwa nilikuwa najua madhara ya rais kudharau thamani ya pesa ya nchi yake na nafikiri tunaiona mwishoni mwa kipindi chake. Watu wanalipana kwa dora au Euro na si shilingi tena.
Magufuli usije ukafanya haka ka mchezo, pesa yetu ina thamani sana kama ikithaminiwa na kuheshimiwa

Ili niuma sana nilipo msikia
 
Ni dhahiri kuwa kwa kauli yake hiyo amekiuka apizo alilolifanya Novemba 2005 na akalirudia November 2010 pale Uwanja wa Taifa.Pia ni dhahiri amesababisha shilingi kushuka thamani kwa kasi ya ajabu katika miaka 10 aliyewatumikia Wananchi akiwa angani ama ughaibuni.
 
Back
Top Bottom