Rais wa nchi kuiita pesa ya nchi yake pesa ya madafu, kiongozi kweli huyo?

Rais wa nchi kuiita pesa ya nchi yake pesa ya madafu, kiongozi kweli huyo?

Gavana wa Bank kuu bwana Benno Ndulu wanajuana na JK kama sikosei walisoma pamoja na alimfuata kule ugaibuni kumwomba aje kuwa Gavana wa Bank baada ya kumfukuza kazi gavana Daudi Balali, sasa kutokana na kujuana huko Gavana anashindwa kumshauri rais hkuhusu madhara ya kukopa bank(kuchapisha noti mpya). Hi ndio madhara ya kufanya kazi kwa kujuwana.
 
Ni Kweli alichosema Rais wetu kuwa Pesa ya Tanzania ni Pesa ya Madafu mimi huwa ninaita Shilingi ya Tanzania ni Pesa ya machungwa sasa angalia machungwa na madafu ipi zaidi Mkuu Kinyungu Pesa ya Tanzania ingelikuwa na thamani mbona tungelikuwa tumekwisha kuendelea kimaendeleo.Lakini pesa yetu ya Machungwa haina thamani tutaendelea kivipi? Viongozi wetu wengi wao ni Mafisadi na Wala Rushwa tutaweza kweli kuwa na maendeleo? Rais ana haki kusema Pesa ya nchi yake ni pesa ya Madafu haina thamani ndani na nje ya nchi mimi pia nina muunga mkono Mheshimiwa Rais JK..


Kwani nani anajukumu la kupandisha thamani ya pesa ya tanzania kama raisi mwenywe kaiona haifai hayo maendeleo ya nchi si ndoto za alinaja.
 
Rais alikua anazoza na wazee wa Daslam. Ndio maana alikua anatumia maneno ya vijiweni
 
Gavana wa Bank kuu bwana Benno Ndulu wanajuana na JK kama sikosei walisoma pamoja na alimfuata kule ugaibuni kumwomba aje kuwa Gavana wa Bank baada ya kumfukuza kazi gavana Daudi Balali, sasa kutokana na kujuana huko Gavana anashindwa kumshauri rais hkuhusu madhara ya kukopa bank(kuchapisha noti mpya). Hi ndio madhara ya kufanya kazi kwa kujuwana.
Na kwa mtindo wa kujuana ndicho chanzo cha Ufisadi ndani ya Serikali! Mfano kujuana kusiko na maslahi kwa JK na Lugemalira kumetufikisha kwenye Ufisadi wa Escrow! Pamoja na yote hayo, Bado hata Mdhibiti Mkuu wa Ikulu (State Controller ) Amepata Mgao wa Ufisadi wa Escrow wa 800 million! na kaachwa akila maisha pale pale Ikulu.
 
Mkuu nakuunga mkono, kwa wasiojua madhara ya kauli hizi kiuchumi watabeza wakidhani ni kauli za kawaida tu. Hili ni tatizo tena kubwa la kiongozi wetu kuingiza utani kwenye mambo ya msingi.

Ingawa fedha yetu imekuwa ikiporomoka hasa kwa mwaka huu, kwa siku mbili tu tangu siku Jk aliposema pesa yetu ni ya madafu shilingi ilishuka kwa sh. 26 ambayo ni sawa na asilimia 1.5, kiwango hiki cha kushuka ni kikubwa sana kwa nchi changa kama yetu.

Wakati mwingine huwa nakumbuka kauli ya Mwl Nyerere kuhusu Kikwete kama mgombea Urais 1995, kwamba "Kijana, bado", hapa Nyerere hakumaanisha umri, alimaanisha Uwezo wake mdogo!
 
Ukweli bila kuuma maneno, Rais wa nchi kuiita fedha ya nchi yake ya madafu ilihali anajua kauli hiyo maana yake nini ni kitu kinachouma sana. Nadhani wazee wa magogoni walishangaa hata wao wenyewe.

Ni dhihaka isiyo na kipimo kwa kweli. So sad.
Nchi kama za Uarabuni au Ulaya ilitosha kabisa nchi kupata misukosuko kutokana na hilo.
 
Kuna mtu aliita Pesa yake Viji senti mkalalamika sana leo kiongozi was nchi anaiita Pesa yake kua ni ya madafu baadhi yetu mnaona sawa je angeiita mgeni kwa jina hilo? naamini mnge hamaki na kusema katudhallisha tuwe wakweli nampenda na kumheshim raisi wangu lakini katika hili naona kaidhalilisha nchi yangu.raisi ni binadam kama Mimi na wewe lazima tukubali katika hili anapaswa kufikiria mara mbiri.
 
Awamu ijayo walio na nafasi ya kuteua mgombea urais wawe makini kutuletea kiongozi makini, mwadilifu, anaechukia rushwa, mkali kidogo na atakaelinda na kutetea katiba ya wananchi ili tuweze kutoka hapa tulipo sasa kwani tunakaribia 'kupigana'
 
Ukiangalia nchi nyingi ambazo hela yao ni ya ''madafu''jua ni vinchi corrupt ,havikusanyi kodi(mumeona kwa singasinga &Co),vimejaa ufisadi na hizo rushwa ni rushwa kubwa kubwa ,kama sio hivyo basi ni viserikali kandamizi kama Zimbabwe,Uganda,Congo DRC,Ethiopia.
Hebu fikiria hawa majirani zetu tu hapa Kenya hawana madini,hawana gesi wala ardhi nzuri hela yao imetuzidi mara 20.
Huyo huyo anayesema fedha ya madafu ndie kaifanya hela yetu iwe ya madafu.Ndio nchi lazima hela yake iwe ya madafu kama ni nchi ya kuomba omba.
 
TANZANIA YAPEWA SIKU 10 TU

Ndugu zangu Watanzania nikiwa najitambulisha kwenu tena na tena; kuwa mimi ni nabii maalum. Siyo nabii kama maabii wengine (traditional prophets) ambao tumezoea kuwasikia wakijiita manabii au mitume, wakiwa na madhehebu au makanisa wakidai wanafanya miujiza na kuponyesha wagonjwa.

Mimi si nabii wa namna hiyo, bali mimi Mungu amenipa unabii kwa ajili ya kazi maalum. Mimi ni nabii wa kutabiriwa katika andiko la kitabu cha Kumbukumbu la Torati 18:18,19. Ambapo nabii Musa akiwa katika nyanda za Moabu, muda mfupi wakiwa wametoka Misri ule mwaka wa 1513 B.C. Mungu alimwambia Musa maneno yafuatayo kwamba: “Nitawainulia wao nabii kutoka katikati ya ndugu zao, kama wewe; nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake, naye atasema nao yote nitakayomwamuru. Na itatukia kwamba mtu ambaye hatasikiliza maneno yangu ambayo atayasema katika jina langu, mimi mwenyewe nitamtaka ajibu.”

Kwa hiyo ndugu zangu Watanzania na ndugu zangu wa kizazi hiki kinachoishi duniani leo, mimi ni ndugu yenu; ambaye niseme bahati hii ya mtende ya mtu aliyeteuliwa kutimiza unabii huo wa kuwa kama nabii musa imeniangukia mimi. Hakika sikujichagua au kuomba kazi hii ya kutimiza unabii huo, bali Mungu alinichagua tokea nimezaliwa na alianza kuniandaa na kunilea kwa ajili ya kuja kuwa mwakilishi wao hapa duniani kwa ajili ya kazi maalum. Na hiyo kazi maalum ilianza mwaka 2009, na kazi bado inaendelea (nilieleza kwa kirefu juu ya unabii wa kama Musa kwenye kitabu cha Uzima sehemu ya kwanza nilichokichapisha ule mwaka 2009).

Ndugu zangu kila jambo huwa lina mwanzo wake na bila shaka; jambo lenye mwanzo lazima litakuja kuwa na mwisho wake! Kwa hiyo unabii huo wa Kumbukumbu la Torati 18:18,18, ndipo sasa umepata mwanzo wake kwa kutimia kwangu, baada ya miaka karibu 3,500 kupita.

Kwa hiyo ndugu zangu; wakati huu siyo wakati wa kutukana, kusonya, kubeza au kupinga kwa sababu muda siyo muda kila mtu atajua awe anataka au hataki kwamba kweli unabii wa Musa umetimia (ni jambo la wakati tu na wakati huo ahuna madhara kwa yeyote).

Kwa hiyo kitakacho fanya unabii ujulikane Tanzania na duniani kote; ni kama ambavyo nimekuwa nikieleza kwenye barua mbalimbali ambazo nimeiandikia ikulu tokea ule mwaka wa 2012 na nikiwa nimeandika makala nyingi katika magazeti mbalimbali, yanayoeleza nia ya kuomba kukutana na Mh. Kikwete. Kwa sababu ndilo sharti la kwanza ambalo napaswa kufanya ili nimueleze Rais wangu anayetawala kipindi hiki ambacho unabii umeanza; juu ya makusudi ya Mungu anayo kusudia kuyafanya hapa duniani hivi sasa.

Rais atakapokuwa ameelewa ndipo sasa watu wote mtakuja kufahamu kinachomaanishwa na unabii huo wa mimi kuteuliwa kuwa nabii kama Musa. Kwa hiyo sala za kila mtu ni kuomba Mh. JK kunipa nafasi ya kumuona na kunielewa juu ya utume wangu kwa sababu ni mzuri sana na ndilo suluhisho la matatizo mengi yanayolikumba taifa hili na dunia kwa ujumla.

MUNGU AMPA SIKU 10 MH. KIKWETE

Kama nilivyoeleza hapo juu kuwa tokea mwaka 2012 nimekuwa nikiandika barua ikulu za kuomba kukutana ana kwa ana na Rais kwa ajili ya kuwakilisha utume nilio nao na nikieleza utume huu si wangu peke yangu bali na taifa letu linahusika kwa asilimia 100 na unabii huu. Na tokea mwaka 2009, nimeendesha vipindi vya televisheni na kuandika makala nyingi ambazo Rais na watendaji wake wa serikali wangepaswa kusituka na kuniita ili nitoe maelezo kwao, lakini wamekuwa wakifumba macho na masikio.

Mara nyingi wasaidizi wa Rais wamekuwa wakitoa kisingizio cha kwamba Mheshimiwa ana kazi nyingi sana, ambavyo ni kweli, lakini jambo hili hata mtu mwenye upeo mdogo, anapaswa kulipa umuhimu wake, kwa sababu siku zote nimekuwa nikilieleza kwenye ukubwa wake.

Nasikitika kusema kuwa Mungu amekasirika sana sana na mimi nabii wao nimekwazika sana sana. Kwa sababu tokea mwaka 2012 naiandikia ikulu umuhimu wa kukutana na Rais naambiwa ana kazi nyingi sana na tarehe 29/11/2014 niliandika makala ambayo niliichapisha waraka ambao nilimwandikia Rais mwaka 2012 ambao ukapuuzwa na kusababisha ufisadi mkubwa na matatizo mbalimbali yanayoendelea nchini.

Lakini mpaka naandika makala hii bado sijaitwa kumuona Raisi. Isitoshe tarehe 15/12/2014 nimemwandikia barua binafsi Rais ambayo maudhui yake nitayaeleza hapa chini na nikamkabidhi mkononi msaidizi wake wa habari Bw. Salva Rweyemamu; lakini mpaka sasa bado sijaitwa. Cha kushangaza wasanii wetu wawili ambao wameshinda tuzo na ushindi wa BBA juzi tu, Rais akawa hana kazi nyingi sana, kwani aliwapatia wasanii hao nafasi ya kwenda kupongezwa na Rais ikulu (ambalo ni jambo zuri sana).

Nimesema ni jambo la kushangaza kwa sababu thamani ya tuzo na zawadi za wasanii hao ambao kwa Rais wameonekana ni wa muhimu sana kuliko nabii Buberwa, ambapo thamani ya tuzo zao haiwezi kuhudumia hata kijiji kimoja chenye wakazi 100 tu kwa mwaka hata mmoja. Lakini nabii Buberwa siku zote karibu miaka 2 sasa nimemwandikia barua Rais na kutoa makala magazetini kuwa nina fomula ya kutoka kwa Mungu ya kuondoa vita duniani, kufufua uchumi wa nchi na dunia, napuuzwa.

Sasa Mungu anaagiza; hatumii tena lugha laini, bali anamwagiza Mh. Prof. Jakaya Kikwete na washauri wake wawe wamekutana nami ndani ya siku 10, tokea tarehe 25/12/2014, kinyume cha hivyo Mungu anasema utukufu ambao Tanzania ilikuwa ipewe utahamishiwa katika nchi nyingine mojawapo ya Afrika Mashariki kati yenye watawala wenye alama za majina “JK”. Na Mungu anasema waziwazi kwamba kwa taifa hili kupuuza daraka ambalo alitaka kulipatia taifa hili hakika kutatokea mtikisiko mkubwa sana sana kuliko yote iliyowahi kutokea katika taifa hili tokea lipate uhuru.

BARUA KWA RAIS


Hapa chini ni baadhi ya makusudi ya barua niliyomwandikia Rais ya tarehe 15/12/2014, amabayo Mungu anasema yatekelezwe ndani ya siku 10, tokea tarehe 25/12/2014.

YAH: OMBI LA KUKUONA KWA UHARAKA ILI NIKUJULISHE MIKAKATI AMBAYO MUNGU WA KWELI MUUMBA ANATAKA KUIFANYA JUU YA TAIFA HILI NA DUNIA KWA UJUMLA KUPITIA TAIFA LETU NA UONGOZI WAKO.

Mh. Rais bila ya kutoa maelezo marefu ningependa nijitambulishe kwako kwa ufupi; mimi Mungu aliniandaa tokea nilipozaliwa kuja kutimiza makusudi makuu ya Mungu hapa duniani kwa ajili ya kubadilisha maisha ya wanadamu wote duniani yawe mazuri kwa kupitia taifa letu Tanzania.

Mh. Rais, napenda kukutaarifu kuwa makusudi hayo ambayo Mungu wa Kweli alikusudia kuyatimiza, alipanga yatimizwe chini ya utawala wako Mheshimiwa Dr. JK Mrisho.

Mungu alitengeneza Tanzania katika jiografia ya dunia kuja kuwa taifa la kipekee na lenye utukufu duniani kwenye nyakati za siku za mwisho. Mungu alianza kuandaa watu wa taifa hili kuwa wamoja na kuwa watu wenye utu wa kipekee duniani chini ya Baba wa taifa Mwl. JK Nyerere.

Lengo la Mungu la kutengeneza utu huu tulio nao Watanzania chini ya Mwl. JK Nyerere ni kwa sababu Mungu alitaka tuwe watu wa kwanza kuyapokea na kuyakubali makusudi yake makuu yanayokuja kutangazwa kabla ya watu wengine duniani kukubali kuyatekeleza na kuyatumia.

Kwa ufupi Mh. Rais, mwaka 2009 ndipo Mungu alinifunulia kuwa mimi ni nabii maalum ninayetimiza unabii ambao ulitabiriwa miaka 3,500 iliyopita katika kitabu cha Kumbukumbu la Torati sura ya 18:18,19. Kwa hiyo mimi si kama manabii ambao wapo duniani siku hizi wanaodai wanatabiri matukio mbalimbali na kudai kuponya wagonjwa kimuujiza kutoka katika imani tofauti tofauti.

Kwa hiyo mimi ni nabii mwenye makusudi mahsusi kwa dunia kama ambavyo Mungu alimtumia Musa wa taifa la Israeli la kale kukomboa watu wa taifa la Mungu Israeli kutoka utumwani Misri; ndivyo Mungu anataka kukomboa watu wote duniani wanaoishi katika kipindi hiki kinachoelekea Kiama.

Mungu anataka kutimiza nia hiyo kupitia taifa letu ambalo nyutu za watu wake zilitengenezwa chini ya utawala wa baba wa taifa Mwl. JK Nyerere na makusudi hayo ya Mungu yanaanza kutekelezwa chini ya utawalo wako Dr. JK Mrisho na maagizo ya makusudi hayo ya Mungu yatakuwa yakielekezwa na Mungu kupitia malaika zake kwa kupitia mwanadamu mimi Dr. JK Buberwa. (Alama “JK” ndizo Mungu amezitumia kuthibitisha unabii wake kuwa huko hakika)

MAOMBI YANGU RASMI KWAKO NI:

1. Nakuomba Mh. Rais kunipatia nafasi ya kukuona ana kwa ana kwa ajili ya kukueleza maagizo mahsusi toka kwa Mungu ambapo nilifanya jitihada mbalimbali tokea mwaka 2011 bila ya mafaniko.

2. Nchi yetu itakumbwa na mtikisiko wa nne ambao utakuwa mkumbwa kuliko mitikisiko 3 iliyopita. Na taifa letu litazidi kukumbwa na mabalaa mbalimbali madogo kwa makubwa na taifa halitaweza kuendelea kiuchumi. Na si hivyo tu kama Mh. Rais utaendelea kupuuza maombi ya barua hii stability ya nchi itakuwa mashakani.

3. Kwa hiyo Mh. Rais Mungu atafungua baraka hizi pindi nitakapokuona na kukueleza jukumu rasmi la Tanzania katika mpango huo. Makusudi hayo Mungu hatayafungulia mtaani bali ikulu inapaswa kuyaidhinisha kwa sababu ni mambo makubwa sana.

MAKUSUDI YA MUNGU KWA DUNIA NI YAPI KATIKA WAKATI WETU HUU?

Kwa ufupi taifa letu la Tanzania Mungu ameliteua kama taifa kusimamia makusudi yake ya kuleta mabadiliko duniani tokea Novemba 5, 2012 ambapo ni miaka 2 sasa imepita kwa sababu ya uongozi wa kitaifa kupuuzia au kuyaona mambo haya kama ya kiuendawazimu.

MIKAKATI MIKUU YA MUNGU NI:-

1. Kukomesha vita duniani katika miaka 7 tokea Novemba 5, 2012
2. Kukomesha njaa na umasikini duniani katika miaka 14 tokea Novemba, 2012
3. Kukomesha duniani uharifu, ufisadi, wizi, unyanganyi, ugaidi na matendo mengine mabaya katika jamii katika miaka 14 tokea Novemba, 2012

Katika unabii huu Tanzania ni mratibu wa mipango ya Mungu kwa niaba ya dunia na Marekani na Uingereza watakuwa wasimamizi na watekelezaji wa mipango hiyo duniani kwa kushirikiana na serikali mbalimbali duniani kama ilivyoelezwa katika gazeti la Daily News la Juni 10, 2013.

MUHIMU: Kwa hiyo Mh. Rais Mungu anakusubiri kuelewa, kukubali na kuidhinisha makusudi hayo ya Mungu kuanza. Bila ya wewe Mh. Rais uliyeko madarakani kukubali kuidhinisha mipango hiyo hakika Mungu hatafungua baraka hizi kwa taifa hili na dunia, kama ambavyo Musa hakuweza kuwatoa wana wa Israeli Misri bila kauli ya mfalme Farao kuwa sasa “ondokeni.”

Wako Mtiifu,

Dr. JK Buberwa
NABII KAMA MUSA (KUMBUKUMBU 18:18,19)

Simu: 0769 800 100 na Email: dr.josephbuberwa@gmail.com

Ndugu unaboa wewe sasa kila post unaweka habari zako?

Acha njaa za kitoto huo unabii wako kafanye kwenu bana nabii bongo?
 
jk fanya kazi usisumbuke na hawa watumishi wa ndani wa mzee slaa watanzania tupu nyuma yako tutaunga mkono jitihada zako zote utakazozianzisha katika kuleta maendeleo ya kweli kwa watanzania.
 
TANZANIA YAPEWA SIKU 10 TU

Ndugu zangu Watanzania nikiwa najitambulisha kwenu tena na tena; kuwa mimi ni nabii maalum. Siyo nabii kama maabii wengine (traditional prophets) ambao tumezoea kuwasikia wakijiita manabii au mitume, wakiwa na madhehebu au makanisa wakidai wanafanya miujiza na kuponyesha wagonjwa.

Mimi si nabii wa namna hiyo, bali mimi Mungu amenipa unabii kwa ajili ya kazi maalum. Mimi ni nabii wa kutabiriwa katika andiko la kitabu cha Kumbukumbu la Torati 18:18,19. Ambapo nabii Musa akiwa katika nyanda za Moabu, muda mfupi wakiwa wametoka Misri ule mwaka wa 1513 B.C. Mungu alimwambia Musa maneno yafuatayo kwamba: "Nitawainulia wao nabii kutoka katikati ya ndugu zao, kama wewe; nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake, naye atasema nao yote nitakayomwamuru. Na itatukia kwamba mtu ambaye hatasikiliza maneno yangu ambayo atayasema katika jina langu, mimi mwenyewe nitamtaka ajibu."

Kwa hiyo ndugu zangu Watanzania na ndugu zangu wa kizazi hiki kinachoishi duniani leo, mimi ni ndugu yenu; ambaye niseme bahati hii ya mtende ya mtu aliyeteuliwa kutimiza unabii huo wa kuwa kama nabii musa imeniangukia mimi. Hakika sikujichagua au kuomba kazi hii ya kutimiza unabii huo, bali Mungu alinichagua tokea nimezaliwa na alianza kuniandaa na kunilea kwa ajili ya kuja kuwa mwakilishi wao hapa duniani kwa ajili ya kazi maalum. Na hiyo kazi maalum ilianza mwaka 2009, na kazi bado inaendelea (nilieleza kwa kirefu juu ya unabii wa kama Musa kwenye kitabu cha Uzima sehemu ya kwanza nilichokichapisha ule mwaka 2009).

Ndugu zangu kila jambo huwa lina mwanzo wake na bila shaka; jambo lenye mwanzo lazima litakuja kuwa na mwisho wake! Kwa hiyo unabii huo wa Kumbukumbu la Torati 18:18,18, ndipo sasa umepata mwanzo wake kwa kutimia kwangu, baada ya miaka karibu 3,500 kupita.

Kwa hiyo ndugu zangu; wakati huu siyo wakati wa kutukana, kusonya, kubeza au kupinga kwa sababu muda siyo muda kila mtu atajua awe anataka au hataki kwamba kweli unabii wa Musa umetimia (ni jambo la wakati tu na wakati huo ahuna madhara kwa yeyote).

Kwa hiyo kitakacho fanya unabii ujulikane Tanzania na duniani kote; ni kama ambavyo nimekuwa nikieleza kwenye barua mbalimbali ambazo nimeiandikia ikulu tokea ule mwaka wa 2012 na nikiwa nimeandika makala nyingi katika magazeti mbalimbali, yanayoeleza nia ya kuomba kukutana na Mh. Kikwete. Kwa sababu ndilo sharti la kwanza ambalo napaswa kufanya ili nimueleze Rais wangu anayetawala kipindi hiki ambacho unabii umeanza; juu ya makusudi ya Mungu anayo kusudia kuyafanya hapa duniani hivi sasa.

Rais atakapokuwa ameelewa ndipo sasa watu wote mtakuja kufahamu kinachomaanishwa na unabii huo wa mimi kuteuliwa kuwa nabii kama Musa. Kwa hiyo sala za kila mtu ni kuomba Mh. JK kunipa nafasi ya kumuona na kunielewa juu ya utume wangu kwa sababu ni mzuri sana na ndilo suluhisho la matatizo mengi yanayolikumba taifa hili na dunia kwa ujumla.

MUNGU AMPA SIKU 10 MH. KIKWETE

Kama nilivyoeleza hapo juu kuwa tokea mwaka 2012 nimekuwa nikiandika barua ikulu za kuomba kukutana ana kwa ana na Rais kwa ajili ya kuwakilisha utume nilio nao na nikieleza utume huu si wangu peke yangu bali na taifa letu linahusika kwa asilimia 100 na unabii huu. Na tokea mwaka 2009, nimeendesha vipindi vya televisheni na kuandika makala nyingi ambazo Rais na watendaji wake wa serikali wangepaswa kusituka na kuniita ili nitoe maelezo kwao, lakini wamekuwa wakifumba macho na masikio.

Mara nyingi wasaidizi wa Rais wamekuwa wakitoa kisingizio cha kwamba Mheshimiwa ana kazi nyingi sana, ambavyo ni kweli, lakini jambo hili hata mtu mwenye upeo mdogo, anapaswa kulipa umuhimu wake, kwa sababu siku zote nimekuwa nikilieleza kwenye ukubwa wake.

Nasikitika kusema kuwa Mungu amekasirika sana sana na mimi nabii wao nimekwazika sana sana. Kwa sababu tokea mwaka 2012 naiandikia ikulu umuhimu wa kukutana na Rais naambiwa ana kazi nyingi sana na tarehe 29/11/2014 niliandika makala ambayo niliichapisha waraka ambao nilimwandikia Rais mwaka 2012 ambao ukapuuzwa na kusababisha ufisadi mkubwa na matatizo mbalimbali yanayoendelea nchini.

Lakini mpaka naandika makala hii bado sijaitwa kumuona Raisi. Isitoshe tarehe 15/12/2014 nimemwandikia barua binafsi Rais ambayo maudhui yake nitayaeleza hapa chini na nikamkabidhi mkononi msaidizi wake wa habari Bw. Salva Rweyemamu; lakini mpaka sasa bado sijaitwa. Cha kushangaza wasanii wetu wawili ambao wameshinda tuzo na ushindi wa BBA juzi tu, Rais akawa hana kazi nyingi sana, kwani aliwapatia wasanii hao nafasi ya kwenda kupongezwa na Rais ikulu (ambalo ni jambo zuri sana).

Nimesema ni jambo la kushangaza kwa sababu thamani ya tuzo na zawadi za wasanii hao ambao kwa Rais wameonekana ni wa muhimu sana kuliko nabii Buberwa, ambapo thamani ya tuzo zao haiwezi kuhudumia hata kijiji kimoja chenye wakazi 100 tu kwa mwaka hata mmoja. Lakini nabii Buberwa siku zote karibu miaka 2 sasa nimemwandikia barua Rais na kutoa makala magazetini kuwa nina fomula ya kutoka kwa Mungu ya kuondoa vita duniani, kufufua uchumi wa nchi na dunia, napuuzwa.

Sasa Mungu anaagiza; hatumii tena lugha laini, bali anamwagiza Mh. Prof. Jakaya Kikwete na washauri wake wawe wamekutana nami ndani ya siku 10, tokea tarehe 25/12/2014, kinyume cha hivyo Mungu anasema utukufu ambao Tanzania ilikuwa ipewe utahamishiwa katika nchi nyingine mojawapo ya Afrika Mashariki kati yenye watawala wenye alama za majina "JK". Na Mungu anasema waziwazi kwamba kwa taifa hili kupuuza daraka ambalo alitaka kulipatia taifa hili hakika kutatokea mtikisiko mkubwa sana sana kuliko yote iliyowahi kutokea katika taifa hili tokea lipate uhuru.

BARUA KWA RAIS


Hapa chini ni baadhi ya makusudi ya barua niliyomwandikia Rais ya tarehe 15/12/2014, amabayo Mungu anasema yatekelezwe ndani ya siku 10, tokea tarehe 25/12/2014.

YAH: OMBI LA KUKUONA KWA UHARAKA ILI NIKUJULISHE MIKAKATI AMBAYO MUNGU WA KWELI MUUMBA ANATAKA KUIFANYA JUU YA TAIFA HILI NA DUNIA KWA UJUMLA KUPITIA TAIFA LETU NA UONGOZI WAKO.

Mh. Rais bila ya kutoa maelezo marefu ningependa nijitambulishe kwako kwa ufupi; mimi Mungu aliniandaa tokea nilipozaliwa kuja kutimiza makusudi makuu ya Mungu hapa duniani kwa ajili ya kubadilisha maisha ya wanadamu wote duniani yawe mazuri kwa kupitia taifa letu Tanzania.

Mh. Rais, napenda kukutaarifu kuwa makusudi hayo ambayo Mungu wa Kweli alikusudia kuyatimiza, alipanga yatimizwe chini ya utawala wako Mheshimiwa Dr. JK Mrisho.

Mungu alitengeneza Tanzania katika jiografia ya dunia kuja kuwa taifa la kipekee na lenye utukufu duniani kwenye nyakati za siku za mwisho. Mungu alianza kuandaa watu wa taifa hili kuwa wamoja na kuwa watu wenye utu wa kipekee duniani chini ya Baba wa taifa Mwl. JK Nyerere.

Lengo la Mungu la kutengeneza utu huu tulio nao Watanzania chini ya Mwl. JK Nyerere ni kwa sababu Mungu alitaka tuwe watu wa kwanza kuyapokea na kuyakubali makusudi yake makuu yanayokuja kutangazwa kabla ya watu wengine duniani kukubali kuyatekeleza na kuyatumia.

Kwa ufupi Mh. Rais, mwaka 2009 ndipo Mungu alinifunulia kuwa mimi ni nabii maalum ninayetimiza unabii ambao ulitabiriwa miaka 3,500 iliyopita katika kitabu cha Kumbukumbu la Torati sura ya 18:18,19. Kwa hiyo mimi si kama manabii ambao wapo duniani siku hizi wanaodai wanatabiri matukio mbalimbali na kudai kuponya wagonjwa kimuujiza kutoka katika imani tofauti tofauti.

Kwa hiyo mimi ni nabii mwenye makusudi mahsusi kwa dunia kama ambavyo Mungu alimtumia Musa wa taifa la Israeli la kale kukomboa watu wa taifa la Mungu Israeli kutoka utumwani Misri; ndivyo Mungu anataka kukomboa watu wote duniani wanaoishi katika kipindi hiki kinachoelekea Kiama.

Mungu anataka kutimiza nia hiyo kupitia taifa letu ambalo nyutu za watu wake zilitengenezwa chini ya utawala wa baba wa taifa Mwl. JK Nyerere na makusudi hayo ya Mungu yanaanza kutekelezwa chini ya utawalo wako Dr. JK Mrisho na maagizo ya makusudi hayo ya Mungu yatakuwa yakielekezwa na Mungu kupitia malaika zake kwa kupitia mwanadamu mimi Dr. JK Buberwa. (Alama "JK" ndizo Mungu amezitumia kuthibitisha unabii wake kuwa huko hakika)

MAOMBI YANGU RASMI KWAKO NI:

1. Nakuomba Mh. Rais kunipatia nafasi ya kukuona ana kwa ana kwa ajili ya kukueleza maagizo mahsusi toka kwa Mungu ambapo nilifanya jitihada mbalimbali tokea mwaka 2011 bila ya mafaniko.

2. Nchi yetu itakumbwa na mtikisiko wa nne ambao utakuwa mkumbwa kuliko mitikisiko 3 iliyopita. Na taifa letu litazidi kukumbwa na mabalaa mbalimbali madogo kwa makubwa na taifa halitaweza kuendelea kiuchumi. Na si hivyo tu kama Mh. Rais utaendelea kupuuza maombi ya barua hii stability ya nchi itakuwa mashakani.

3. Kwa hiyo Mh. Rais Mungu atafungua baraka hizi pindi nitakapokuona na kukueleza jukumu rasmi la Tanzania katika mpango huo. Makusudi hayo Mungu hatayafungulia mtaani bali ikulu inapaswa kuyaidhinisha kwa sababu ni mambo makubwa sana.

MAKUSUDI YA MUNGU KWA DUNIA NI YAPI KATIKA WAKATI WETU HUU?

Kwa ufupi taifa letu la Tanzania Mungu ameliteua kama taifa kusimamia makusudi yake ya kuleta mabadiliko duniani tokea Novemba 5, 2012 ambapo ni miaka 2 sasa imepita kwa sababu ya uongozi wa kitaifa kupuuzia au kuyaona mambo haya kama ya kiuendawazimu.

MIKAKATI MIKUU YA MUNGU NI:-

1. Kukomesha vita duniani katika miaka 7 tokea Novemba 5, 2012
2. Kukomesha njaa na umasikini duniani katika miaka 14 tokea Novemba, 2012
3. Kukomesha duniani uharifu, ufisadi, wizi, unyanganyi, ugaidi na matendo mengine mabaya katika jamii katika miaka 14 tokea Novemba, 2012

Katika unabii huu Tanzania ni mratibu wa mipango ya Mungu kwa niaba ya dunia na Marekani na Uingereza watakuwa wasimamizi na watekelezaji wa mipango hiyo duniani kwa kushirikiana na serikali mbalimbali duniani kama ilivyoelezwa katika gazeti la Daily News la Juni 10, 2013.

MUHIMU: Kwa hiyo Mh. Rais Mungu anakusubiri kuelewa, kukubali na kuidhinisha makusudi hayo ya Mungu kuanza. Bila ya wewe Mh. Rais uliyeko madarakani kukubali kuidhinisha mipango hiyo hakika Mungu hatafungua baraka hizi kwa taifa hili na dunia, kama ambavyo Musa hakuweza kuwatoa wana wa Israeli Misri bila kauli ya mfalme Farao kuwa sasa "ondokeni."

Wako Mtiifu,

Dr. JK Buberwa
NABII KAMA MUSA (KUMBUKUMBU 18:18,19)

Simu: 0769 800 100 na Email: dr.josephbuberwa@gmail.com

we kitunguu utaendelea kukopi na kupesti hadi lini? huoni soo mtu mwenye tumbu kubwa kama wewe kutwa unapest kitu hichohicho tu.
 
Samahani kama nitakuwa nimekukosea MziziMkavu naomba kujua elimu yako ya kidunia ni ya kiwango gani ? Je umesoma uchumi na masuala ya kifedha ? Ni kwa nini thamani ya shilingi inashuka ? na JK kama Rais amefanya jitihada gani za makusudi za kupandisha thamani ya shilingi ? Je unajua ufisadi wa EPA na ESCROW amabao JK ndiye sterling wake umeshusha thamani ya shilingi yetu kwa asilimia ngapi ?



Mimi Pia nina muunga mkono Rais Jk Kuita Shilingi taTZ ni Pesa ya Madafu kwa sababu Tanzania hakuna Viongozi wa Serikali wanaojali Maslahi ya Wananchi Viongozi karibu wote ni wabinafsi wanaojali Maslahi yao na Familia yao hawajali walala hoi. mimi pia ninaita Shilingi ya Tz ni Pesa ya Machungwa sio Madafu tu.
 
Last edited by a moderator:


Mimi Pia nina muunga mkono Rais Jk Kuita Shilingi taTZ ni Pesa ya Madafu kwa sababu Tanzania hakuna Viongozi wa Serikali wanaojali Maslahi ya Wananchi Viongozi karibu wote ni wabinafsi wanaojali Maslahi yao na Familia yao hawajali walala hoi. mimi pia ninaita Shilingi ya Tz ni Pesa ya Machungwa sio Madafu tu.

Kauli kama hii kutoka kwa Kiongozi wa nchi mwenye dhamana ya kuongoza nchi katika masuala yote muhimu ya Kiuchumi, kisiasa, kijamii n.k, SIO SAWA hata kidogo! Ni kiwango cha juu kabisa cha Uzembe, Udhaifu na kutojali!
HATUFAI!
 
Last edited by a moderator:
Kauli kama hii kutoka kwa Kiongozi wa nchi mwenye dhamana ya kuongoza nchi katika masuala yote muhimu ya Kiuchumi, kisiasa, kijamii n.k, SIO SAWA hata kidogo! Ni kiwango cha juu kabisa cha Uzembe, Udhaifu na kutojali!
HATUFAI!
Hatufai kivipi wakati tumemchaguwa kuwa kiongozi wetu?Na ana tuongoza Mkuu tajirijasiri hukumpigia kura wewe Rais wetu?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom