Baba advent
Member
- Nov 23, 2011
- 72
- 16
Acha uongo tunaposema hela Ya madafu ni hela ndogo ndogo isiyokuwa na thaman
mzeelapa utakuwa mzazi wa ajabu sana kubariki jina la kebehi kwa mwanao, eti kwa sababu mitaan wanamwita fara na ww mzazi unamwita fara,shame upon u. Kama kiongozi alitakiwa kutotumia neno hilo ukizingatia alikuwa anasikilizwa ndani na nje ya tz, kiuchumi si afya wabunge wanapigania malipo yote yafanyike kwa Tsh halafu yeye publically anaita hela ya madafu.mzazi anabariki jina lisilorasmi kwa mwanae. kwa sababu hamjui athari zake kiuchumi mnaona sawa tu.msumbiji,malawi,uganda,zimbabwe etc wana hela haina thamani kabisa lkn huji kusikia kiongozi wao anaita hela yake kwa majina anayotumia kiongoz wenu wa kijiweni.