‪Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari ampa heshima Maxence Melo wa JamiiForums kwenye mkutano wa AU‬

‪Rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari ampa heshima Maxence Melo wa JamiiForums kwenye mkutano wa AU‬

Kw hiyo km amempongeza?!! Tambua kuwa ubora wa jf,unategemea na umakini na ubora wa sheria za nchi na usimamizi bora wa vyombo vya hbr nchini.km jf ingeachwa na uhuru usiokuwa na mipaka.ikafanya mambo ya kipumbavu km mtoto asie na malezi,hata huko nje isingesifiwa.japo cna uhakika wa hicho ulichoandika.
Wewe una uhakika wa hicho ulichokiandika?
 
Haiwezekani.

Kuna apps za kutengeneza tweets.

Buhari siyo mwanaharakati mpaka avutiwe na JF.

Sioni Buhari anakutana wapi na JF hadi aijue na amjue mmiliki.
Sio lazima akutane na JF ana vyombo vyake ambavyo vinafatilia siasa za nje kama hujui ni hujui tu bora kunyamaza
 
Jiwe akiiona hii itakuwa shida sana
Heshima kwenu wakuu,

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amempongeza Maxence Melo muanzilishi wa Mtandao wa JamiiForums kwenye mkutano wa AU. Ni jambo jema kwa waanzilishi wa JAMIIFORUMS na Tanzania kwa ujumla.

Tunafungia vya kwetu kwa hiari, tutatumia vya wenzetu kwa lazima.

View attachment 961986

Viongozi, wa Afrika wanauchukulia mtandao wa JamiiForums kama Uwanja huru wa kukemea maovu, kuibua na kupinga ufisadi, sehemu salama inayotoa uhuru wa kujieleza, kuelimisha, kuhabarisha na kuburudisha.

Hapa nchini Tanzania, viongozi wajitafakari. Je JamiiForums kwao ina maana gani?

Huyu Maxence Melo anayesifiwa huko duniani, hapa Tanzania kila uchao anazunguka vituo vya polisi kuhojiwa na kufunguliwa kesi zisizo na kichwa wala miguu. Maxence anaandamwa huku Mafisaidi wapo mtaani wanakula bata.


====
View attachment 961868
In his address at the #AYCAC2018 today in Abuja, President Buhari recognizes some of young African leaders who have demonstrated the zeal and determination to build the “Africa We Want”.

“First, I wish to recognize Mr. Moussa Kondo from Mali for his Accountability Lab in the Republic of Mali. He blazed the trail on how to build sustainable coalitions of “Accountapreneurs”.

“Secondly, I recognize, Mr. Maxence Melo, from the United Republic of Tanzania, founder of JamiiForums for strengthening the viability of whistleblowing policy tools.”

”I also enjoin us to celebrate our very own Nigerian - Damilola Olawale, founder of Code IT for using technology to give young people the tools to demand transparency in the management of public resources.” –

These young people have done impressive work in pushing the boundaries of innovation in the pursuit for greater accountability. And so today, we celebrate them and indeed we celebrate all of you - anti-corruption youngsters.

“You are the unsung heroes of our thematic year of the African Union, the high-impact achievers. You are the REAL AFRICAN CHAMPIONS”

President Buhari at #AYCAC2018 Abuja.
 
No habari njema kwetu ni ushindi kwetu sote wana jf. Hongera sana Maxcence Melo
 
Sio lazima akutane na JF ana vyombo vyake ambavyo vinafatilia siasa za nje kama hujui ni hujui tu bora kunyamaza
Kwa nilichokiongea nina uelewa mpana kuliko nadharia uliyoleta. Kaa kushoto.
 
Nchi yetu ndo maana hatuendi mbele viongozi wengi wa tanzania ni wapuuzi!!
 
Barikiwa saaaaana Melo [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji106]
 
Bila ka-audio huu uzi una chembe za porojo..

enewei, Hongera kwa waanzilishi, iwe amesema au hajasema
 
Anastahili kuwa Tajiri.. Misifa haitoshi wampe motisha
 
Post zangu za kusema co founder wa jamii forums Mushi anastahili pia kusifiwa zinafuttwa what is wrong? Hastahili kuunganishwa kusifiwa? Wakati ni founder?
 
Back
Top Bottom