Rais wa Russia Vladimir Putin Aomba Msamaha kwa Ajali ‘Mbaya’ ya Shirika la Ndege la Azerbaijan bila Kukiri Kuwajibika

Rais wa Russia Vladimir Putin Aomba Msamaha kwa Ajali ‘Mbaya’ ya Shirika la Ndege la Azerbaijan bila Kukiri Kuwajibika

Hii habari hunaeleza chanzi cha tukii hilo ambalo ni kutokana na mashambulizi ya drone kutoka ukraine hasa wiki mbili hizi wanashambulia Glozny Chechnya kwa drone na kuhatarisha usalama wa watu na anga. Hivyo air defence zipo standby muda wote. Na hata hiyo ndege ilifanyiwa timing na Ukrainr wakishirikiana na west wakijua kuwa wakituma kwanza drone air defence zitakuwa activated huku wakijua kuna ndege ya abiria ilikuwa njiani na ndio maana ilikataliwa kutua Chechnya Glozny kwa sababu hizo hizo za usalama dhidi ya drone za Ukraine's na kweli west walichotaka wamekipata. Ili kupata sababu za kuishutumu Urusi.
Ni kawaida ya Russia kushambulia raia.
 
Back
Top Bottom