TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Kulalamika kunasaidia nini ndugu? Sijaisikiliza hiyo clip lakini kama mtu ameamua kumdis Mungu hiyo ni juu yake mwenyewe na dhambi zake. Wakristo au waislam kulalamika hakutafuta kauli yake ..Mungu si mali ya dini yoyote bali ni wa wote.

Hamna uwezo wa kumchukulia hatua yoyote zaidi mtasononeka tu hapa.
 
Geree that is harsh!!!!! Wamemuua, alikuwa amebana wizi na rushwa. Angalia nyuso zao, no huzini hapo
 
Inaonyesha uko vizuri sana kwa kujitahidi katika kusoma Maandiko na kutafuta maarifa ya kimbingu, hilo nikupongeze na unafanya vizuri sana Mungu akubariki, changamoto kwako ni pale unaposoma Biblia halafu unakuja na mawazo yako ya nguvu za ugali kutaka kufafanua Bibilia, tatizo linaanzia hapo, unaposoma Biblia lazima uwe na spiritual imagination ndugu yangu
 
Nawe acha kujifanya mjuaji kwenye maisha ya watu,halaf usikalili maisha kila mmoja anaamini akijuacho. Acha kujifanya mjuaji wew 👉🐖
 
wewe huwezi juta maana majuto uliyo nayo kuhusu maisha yako ni kisanga tosha.

hata enzi za jk watu walifanya kwa uelekeo wa boss,ujinga ulikuwa ni kudhani magufuli ni jk.

ndio hapo mkaishia kuliwa na rushwa.
 
Sio kila sehemu unalalama lalama tu, chizi akianua nguo ulizotundika wakat unaoga(vyoo vya paspot saizi) humkimbizi, ukimkimbiza utaonekana chizi ni ww..

Kuna mengine ya kuacha yapite tuu... Kukaa kimya ni jibu bora zaidi.
 
Afande Sele siku hizi anaitwa afande Marasta?
Mleta mada ni mtanzania?
 
Kafika mbali huyu afande...
Amesahau kama huyo mungu kwenye vitabu vyake vitakatifu kasema kila nafsi zitaonja umauti haijalishi nanani na Ana umuhim gani kwa watu wengine

Kawaondoa mpaka alowaita watumishi wake yy mwenyewe kama vile mitume wake...

Na pia kasema ataanza kuwaondoa wale ambao ni werevu kwake.

Mwache akapumzike aliyoyafanya yanatosha palipobaki waendeleze wengine ikiwemo ww afande..
 
Bado watu wanasahau zama za kujipendekeza, kusifia pamoja na kutukuza zimeisha ..wanaamini mjomba kaacha mbegu ya kutukuzwa hivyo hata ukimtukuza akiwa marehemu kuna faida utaipata...

Wazee wa mapambio msikariri kwa sasa mambo yamechange serikali itakuwa inaenda mwendo wa ngiri........


Nitaendelea.......
 


Unakumbuka hata uliandika nini kabla ??? Tofauti ipo kubwa sana kati ya waandishi wa biblia

Katika Waandishi wanne wa Injili Hakuna hata mmoja aliyekuwa Mwanafunzi wa Yesu (AS).”

Katika (Luka 6:14-16 na Marko 3:17) tunaona yametajwa majina ya wanafunzi kumi na wawili na Yesu (AS). Huku majina Mathayo na Yohana yamo, na majina Marko, Luka na Paulo hayajatwaja.

Hata hivyo, kutokana na nkuu zifuatazo, utagundua kuwa hizo Injili mbili zinatajwa kuwa ni za Mathayo na Yohana kwa kuwaheshimu tu, kwani ziliandikwa na mtu wa tatu. Soma nakala halisi ya mstari wa (Mathayo 9:9):

"Naye Yesu alipokuwa akipita kutoka huko aliona mtu ameketi forodhani aitwaye Mathayo, akamwambia nifuate. Akaondoka akamfuata."
Na katika (Yohana 21:24):

"Huyu ndiye yule mwanafunzi ayashuhudiaye haya, na aliyeyaandika haya; nasi twajua ya kuwa ushuhuda wake ni kweli?"
Katika aya ya kwanza, mwandishi anasimulia tu kile kilichotokea kati ya Yesu (AS) na Mathayo, huku katika aya ya pili, ni wazi kuwa kiwakilishi “nasi” kinawakilisha mwandishi.

Hebu kwa sasa tutafakari juu ya kile kilichosemwa na waandishi wawili wa Kikristo kuhusu kuundwa kwa Biblia:

“Wakati mwingine, Wanukuzi wanatia kile kisichokuwemo katika maandishi, pia kile wanachokifikiria kitakuwemo. Mnukuzi anaweza kuamini kumbukumbu zinazobadilika, au anaweza kuunda maandiko kwa mujibu wa mtazamo wa madhehebu anayoyafuata.

Kwa kuongezea katika matoleo na manukuzi ya Mapadri wa Kikristo, takriban (Miswada) ya Mandiko Matakatifu elfu nne ya Wagiriki [MSS], ilijulikana kuwa ipo. Kwa hiyo, tofauti za usomaji ni jambo la kuzingatiwa.”

Kwa hiyo Injili ziliundwa, na ambazo kiwaziwazi, ziliakisi mitazamo ya ufahamu wa mahitajio na matumizi ya jamii za waandishi. Kwao wao, vitu vya kimila vilitumika, lakini kulikuwa hakuna kusita katika kukibadilisha kile kisichoendana na lengo la mwandishi.
 

Umekusudia biblia ipi ya Roman Catholic, Lutheran , Jehovah witness , Gay bible, Satanic Bible au maelfu ya biblia tofauti ??
 

Tuanzie hapa

A Quick Comparison of Bible Versions​


Quick Comparison of Bible Versions


It is often said that all Bible versions are basically the same, that their differences are just minor wording changes. Read the following comparison between the King James Version and the best-selling modern Bible translation, the New International Version, and then decide for yourself whether or not this is true. We have added bold text to assist the reader in recognizing changes.



KING JAMES BIBLE

NEW INTERNATIONAL VERSION


Why did Jesus come to earth?

Luke 9:56
For the Son of man is not come to destroy men's lives, but to save them.And they went to another village.
Matt. 18:11
For the Son of man is come to save that which was lost.
Luke 9:56
and they went to another village.


Matt. 18:11
(missing)


Is repentance important?

Matt. 9:13
...I am not come to call the righteous, but sinners to repentance.
Matt. 9:13
...I have not come to call the righteous, but sinners.



For whom did Jesus die?

I Cor. 5:7
...Christ our passover is sacrificed for us:
I Cor. 5:7
...Christ, our Passover lamb, has been sacrificed.


In Whom must you believe to be saved?

John 6:47
Verily, verily, I say unto you, He that believeth on me hath everlasting life.
John 6:47
I tell you the truth, he who believes has everlasting life.



Was Joseph really the father of Jesus?

Luke 2:33
And Joseph and his mother marvelled at those things which were spoken of him.
Luke 2:33
The child's father and mother marveled at what was said about him.


Did Jesus give His disciples power to heal?

Mark 3:15
...power to heal sickness, and to cast out devils.
Mark 3:15
...authority to drive out demons.


If it's hard to do, should we just remove it?

Mark 11:26
But if ye do not forgive, neither will your Father which is in heaven forgive your trespasses.
Mark 11:26
(missing)


Who is in charge?

I Cor. 10:28
...for the earth is the Lord's and the fulness thereof:
I Cor. 10:28
(last part of verse missing)


How must we deal with our enemies?

Matt. 5:44
...Love your enemies, bless them that curse you, do good to them that hate you, and pray for them which despitefully use you, and persecute you.
Matt. 5:44
...Love your enemies and pray for those who persecute you.


Where did Jesus go?


John 16:16
A little while, and ye shall not see me: and again a little while, and ye shall see me, because I go to the Father.
John 16:16
In a little while you will see me no more, and then after a little while you will see me.



Question: Aren't some of these things included in the NIV in the footnotes?

Answer: That is not the same as including them in the text. When a young Christian sees these passages have been moved to the footnotes, he or she will assume that they are probably not really part of God's Word. After all, the translators did not include them in the text, but simply implied that "some" manuscripts include them. What they are not told is that the vast majority of texts used by the early church included these words. They are God's Words!

This is only a very small sampling of the many changes between these versions. For a much more complete discussion of how the New International Version attacks the deity of Christ, and cuts away at the foundations of the Christian church, read "If the Foundations Be Destroyed" by Chick Salliby.
 
Sio kila sehemu unalalama lalama tu, chizi akianua nguo ulizotundika wakat unaoga(vyoo vya paspot saizi) humkimbizi, ukimkimbiza utaonekana chizi ni ww..

Kuna mengine ya kuacha yapite tuu... Kukaa kimya ni jibu bora zaidi.
Bro Mungu atukanwe ukae kimya? Labda hujui uzito wa Mungu aisee.
 
Hadi Sasa siamini nini hatima ya Tanzania.

Wacha niendelee kumuombea tu Samia asije akaangukia mikononi mwa Manyang'au..wakafanya biashara pale ikulu.
Akili zako zinakutuma Magu ndo alikuwa mungu wa Tanzania?

Acheni uchawi, hatima ya watanzania iko mikononi mwa watanzania. Ujinga wetu ndio ulitufikisha hapa tukiamini Magu ndo alikuwa chaguo la Mungu...

Magu kaondoka Tanzania iko palepale, watanzania wako palepale...
 
Wakristo hawana mamlaka ya kumhukumu mtu. Ndiyo maana Yesu akawaambiwa. Ukiwa ww hauna dhambi, basi uwe wa kwanza kumrushia huyu mwanamke jiwe.
Mungu ndiyo atamhukumu na si wanadamu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…