TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Wewe scars unajitekenya angalia maana utacheka mwenyewe...

Yule afande ni bhangi plus uchafu jazia na laana juu, tena namtabiria hatachukua raundi majibu yake Tanzania yote kama siyo dunia nzima watayajua
 
Amebadilisha tu mazingira ya kazi kwani alikoenda anakwenda kuendelea na majukumu yake ya kiuongozi as ussual ila tofauti ni kwamba huko ataongoza malaika
 
Pole na wiki nzito

Jana nimecheka sana baada ya kumsikia Mwanamuziki mmoja aitwaye Afande Rasta.

Hivi afande, huyo Mungu unayemtukana, wakati akimuumba jpm ulikuwepo? Je wewe ndiye uliyemuambia amuumbe jpm? Kama sio, iweje umtukane Mungu akiwa kwenye majukumu yake?
Ulitaka ufe wewe au afe nani?

Acheni tabia ya kujipendekeza kwa marehemu mkadhani mtapata sifa yeyote, haya mimi sipo
FB_IMG_1616135916523.jpg
 
Katukana nn?mbna uzi hauna nyama huu? yaani unaeleza as if wote tumemsikia...
Katukana vibaya sana shida sisi wengine kusambaza tunaami i kuwa na wewe unashiriki kumtukana Mungu itafute tu hiyo audio na baadae nadhani baada ya kushauriwa na watu wa kari u kaomba radhi kwa clip nyingine
 
Pole na wiki nzito

Jana nimecheka sana baada ya kumsikia Mwanamuziki mmoja aitwaye Afande Rasta.

Hivi afande, huyo Mungu unayemtukana, wakati akimuumba jpm ulikuwepo? Je wewe ndiye uliyemuambia amuumbe jpm? Kama sio, iweje umtukane Mungu akiwa kwenye majukumu yake?
Ulitaka ufe wewe au afe nani?

Acheni tabia ya kujipendekeza kwa marehemu mkadhani mtapata sifa yeyote, haya mimi sipo

Huyo rasta mjinga sana,alichanganya bangi na chumvi.
Mungu ameshamsamehe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom