TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Usisahau pia ndie alieanzisha Mbuga mpya na kuhamishia wanyama kisha kuita Kitovu cha Utalii

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 

Nitajibu la wanafunzi wa Yesu. Alikuwa nao lukuki wanaume kwa wanawake. Lakini kati ya hao alichagua mitume12. Katika hao 12 wako ambao majina yalifanana, mfano Yuda walikuwa wawili, Iskarioti msaliti na mwingine.Paulo alikuja baada ya Yesu. Na kuna namna Yesu alimuita wakati kesha rudi mbinguni. Umeona usivyo ielewa Biblia nadhani.
 
Mabibi na mabwana hii clip inajieleza yenyewe:

Your browser is not able to display this video.


Mkuu wa wilaya kushindwa kujizuia? Watu kushindwa kulala?

Kwa hakika tumepatwa msiba mzito.

Ya Mbeya yanajieleza waziwazi. Niongeze nini zaidi?

Poleni wana Mbeya. Poleni wana Chatto. Poleni watanzania.

Kalale pema peponi JPM.

Daima tutakukumbuka.
 

Luka 9:56 na Matayo 18:11
Angalia maudhui ya hii mistari je yanatofauti?

Hii hoja ya little while. Kwa Mungu siku moja ni sawa na miaka 1000 na miaka 1000 ni sawa na siku moja.. Si maneno yangu ni Maneno ya Mungu haya.
 
Ni kweli kabisa. Licha ya mapungufu aliyokuwa nayo kama kiongozi mwingine yeyote aliifanya Afrika ijiamini na iamini kwamba kama tukithubutu tunaweza kupindua meza "kibabe"
Kupindua meza mbele ya Beberu acheni huu ujinga yaani unamchukia Beberu kesho waziri wako anapita mlango wa pili kuomba msaada hizi mambo wanaongea watawala wasiojielewa lengo kupumbaza akili za watu wao! ukweli ni kwamba hakuna wakupindua meza ya bebera Karne na karne

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Usisahau na wasiojulikana

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Nyerere aliacha Wosia, Mkapa aliacha kitabu na Magufuli ameacha makaburi...... RIP Azory Gwanda RIP Ben Saanane

My bro alikatwa katwa na mapanga na ubongo ukachuruzika mithili ya supu nzito ya nguruwe kisa tu ni diwani wa chadema.

Lala Dikteta magufuli, Usiamke tena
 
Mbn mbeya hamna kitu kama hicho shughuli zinaendelea kama hakijatokea kitu[emoji109][emoji109]

Clip chini ya rubani RC Chalamila umeiangalia au ume komenti kwanza?

Ushahidi wote huo bado wabisha?
 
Kama alikuwa anaumwa tena ugonjwa wa kudumu kama huu.

kwa nini CCM walitupatia Rais mbovu wa Afya? Na Mgonjwa hivi????

Naamini sasa kumbe yale maamuzi mabovu ya kulipuka lipuka!! Tumbua tumbua hawa!! Acha hawa!! Kula vichwa wale mpaka na watu wa kujitolea, kula kichwa tu!!

Mtu halali ...Rais usingizi ukipaa tuu mnalo kutwa kucha tumbua, tumbua na wewe heee!! Hulaliiii.....

Kuuumbeee!!! Rais si Rais ni akili ya ugonjwa? Ndo maana alikuwa na mihasira vile akiona watu wanafurahi?hana amani Nape kamsaidia mpaka kapinduka na gari. Fukuza tu!!msamehe haikuwa akili ya Rais ile.bali ugonjwa!!

Hakujali katiba ya nchi yeye ni twende tu!! Kumbe mgonjwa???mtu wa akili timamu huwezi tumbua wafanya kazi vile...kwani kikwete hakuona??

Mjengo wa Tanesco ubungo kushushwa km ulivo shuka ile ni matokeo ya heart fibrillation.wakisema Covid tutawasamehe.lkn hii Hf hapana!!!! Lazima iende na mtu.

Mfano kutumbua watumishi kirahisi vile km kichaaa!!!tena unatumbua madaktari wako unaowategemea ki afya. Halafu ukiugua unawarudia tena wakutibu heeee!! Si umetengeneza nao uadui?? Unarudi palepale tena???

Unadhani watakuacha ili uwasumbue tena??
Km uligombana nao.nenda katibiwe mbali km kikwete alivofanya.
Dr amekula kiapo cha kutosalitiana km hukujua hii weye ni mgonjwa.

wale walistahili malipo km sehemu ya utumishi wao kwa sirikali! Yeye hakujali hayo aliwaminyaa tu mazimaaa.

Hakuchoka kutumbua.kufanya kazi hata jumamosi. Mungu mwenyewe na ukuu wake alipumzika siku ya saba.na alituagiza tupumzike pia km yeye.

wewe ni nani uwe ni ""hapa kazi tuu""! Bila pumziko??? Alipingana na amri ya Mungu??
Angalia sasa Mungu anampumzisha kwa lazima.

Ndo hivyo Mungu alisema akimaanisha ni amesema hutaki ndo km hivi.
Musa kule jangwani na ujanja wake wooote! Aliwapumzisha wana wa Israel km Mungu alivoagiza.

Mficha mficja maradhi....
 
Dah bado niko shocked, πŸ€¦β€β™‚οΈ
Tunaanza moja kulekulee
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…