TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Wakuu tupeane njia za kupunguza stress, kuweka akili sawa katika wakati huu wa maombolezo maana ukisema uwashe TV zetu habari ni hizo tu, ukiingia mtandaoni habari ni hizo tu, ukikaa mtaani ndo usiseme, unajikuta muda wote unasikitika tu.
Kwa kweli hizi siku ni nyingi mno zitatupunguzia seli hai km hatutotafuta njia mbadala ya kurefresh mind, tusaidiane hapa wadau.
Note: Hata km ulikuwa humpendi marehemu ila ukikutana na wanaolia watakuondolea furaha tu maana nawe ni binadamu siku yako lazima uiwazie.
 
Ukiwa very busy kwenye shughuli zako halali za kukuingizia kipato ili usife njaa, msononeko hauna nafasi
 
Sikiliza music katika simu/laptop yako
 
Najinywea tu tubia twa baridi
 
إِنَّا لِلَّٰهِ وَإِنَّا إِلَيْهِ رَاجِعُونَ‎

Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
 
Rais wangu, furaha yangu, msitakabali wa maisha yangu vyote vimepotea😫😥😪😭😭😭
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…