TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Ningeomba ungejikita kwenye kumtusi kisiasa na SI kifamilia, acha kuongea uongo hapa, halafu unapokuwa mtu wa kuzusha na kuonekana kana kwamba unaijua vizuri hiyo familia unafanya jambo la hovyo sana!



Kwa ufupi acha kupotosha na kujenga chuki, usiongee jambo usilolijua , habari za mitandaoni,


Mnakosea sana kujifanya mnajua familia za watu!!
 
Hahahaha

Mwamba na jeuri yote na ubabe wote ule, leo yupo peke yake analiwa na funza....

Mimi sina tatizo na kifo changu, naamini nitakufa.
Sina jeuri wala kiburi km cha mwamba....

Tumefunzwa kuwa wema na kuishi kwa upendo....
Upendo gani unaouzungumzia?


Acha upumbavu wako!
 
Je hii ni hujuma? Mtandao wa wikipedia wameandika kuwa chanzo cha kifo cha hayati Magufuli ni Covid-19 kinyume na tamko la Rais Samia Suluhu alivyoliambia Taifa kuwa Hayati Magufuli alifariki kwa maradhi ya moyo.

Serikali iingilie kati dhdi ya uchaguzi huu wa Wikipedia wakiacha uzushi uenee matokeo yake itaaminika kweli hayati Magufuli alifariki kwa Covid-19.
 
Ingekuwa hiyo sababu inatengua hukumu ya kifo cha marehemu, ningekuelewa! Ila kwa bahati mbaya ndiyo hivyo tena. Kifo ni kifo tu.
 
Ata wakiandika kafa akila asali au hakufa alipaa kama malaika!
Haita badilisha matokeo ya kifo!
 
mbona iko sawa. we ulitakaje?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…