TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
fact miss Pablo hua nakubali Kwa akili zako timamu mkuu umetoa Somo zuri
Maendeleo sio favor za wanasisa ni Kodi zetu hizo zinatumika!
Watanzania tunakera sana mkuu. Utasikia rais ametoa billion kadhaa. Nye nye nye. Ametoa wapi hiyo hela? Yaan hela.zetu halaf tena rais ametupa? Bastarda. Katika maisha yangu i will never be a boot licker to any one. Or else they should come and kill meeeee

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Alikufa tarehe 10
Alishakufa mapema zaidi kiroho.... from that day ever it was happy independency to every Tanganyikan...imagine ile katiba mpya yao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila bwana Mungu mwanaume wa shoka sana. Akapita naye fyaaaaaaaaaaaaaa..
Yaan hata bunge halijajipanga kukaaa yaan Mungu akavelala naue jamani[emoji23] alimtimua mbio za kibaka mwizi[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji2222][emoji2222][emoji2222]

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Acha tu mkuu hakuna aijuae kesho leo polepole anafokewa na kina kihongosi ,bashiru kapotea kabisa
 
Inatuhusu nini sisi watanzania?
 
Apumzike kwa amani.

Magufuli alikua na makosa mengi lakini kwenye SGR na Stigler ni maamuzi bora zaidi alifanya kwenye uhai wake.
Fedha zinazofanya hiyi miradi ni kodi zetu sisi watanzania.

Hazikutoka kwenye mshahara wake
 
Acha tu mkuu hakuna aijuae kesho leo polepole anafokewa na kina kihongosi ,bashiru kapotea kabisa
Yaan kupitia mwendazake iliniongezea sana somo ktk maisha. Yaan kamwe usiongee ukamaliza yote. Na heshimu kila mtu aisee hujui kesho yako... ila nashangaa sana polepole hizi balls ni za sukuma gang bado wana nguvu ama ni kina nani

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…