TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Watanzania tunakera sana mkuu. Utasikia rais ametoa billion kadhaa. Nye nye nye. Ametoa wapi hiyo hela? Yaan hela.zetu halaf tena rais ametupa? Bastarda. Katika maisha yangu i will never be a boot licker to any one. Or else they should come and kill meeeee

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Jibu hili hapa
244568317_555200182229340_6751137530076851751_n.jpeg
 
shujaa wa kitu gani. Acheni kushika watu masikio
mkuu mimi hua sibishani na wafuasi...

kinachokusumbua wewe ni ufuasi, hutaki kutanua ubongo nje ya ufuasi...

mitazamo yako kwenye vyama ni ile ile...(hutoki nje ya mbowe)

hata kwenye simba ni hivyo hivyo(hutoki nje ya mo)

sasa mtu kama wewe tukikuelezea umuhimu wa magufuli, utaelewa?
 
Kwetu sisi tulioishuhudia tarehe 17/3/2021 tukiwa ubavuni mwa hayati rais Magufuli ilikuwa ni siku ya giza nene na simanzi nzito sana. Tulihisi dunia inaanguka.

1. Siku hiyo asubuhi hayati Magufuli alituita na kutuambia tumtegemee Mungu na tuwafukishie ujumbe watanzania wote kuwa waendelee kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.
2.Hayati Magufuli akiwa amezungukwa na manesi na madaktari alianza kuimbisha nyimbo na baadae akaongoza sala ya kitubio.
3. Alimpigia simu padri wa kanisa la st peter's na alipofika alimwongoza sala na kumpatia mpako mtakatifu.
4. Alimpigia simu mufti mkuu shehe Zuberi na alipofika waliongea kidogo na baadae akamuomba amwombee alale salama na mufti alifanya hivyo kwa utulivu mkubwa.
5. Alimpigia simu Kardinali Pengo na kumwambia maneno yafuatayo," Nilitamani kuiona Tanzania mpya lakini kwa hali yangu sitaweza kuiona.
6. Alimpigia na kumpa dokezo CDF Mabeyo.
7. Baada ya hapo alijifunika shuka akalala na hakuamka tena.

Hakika hayati Magufuli alikuwa na mwisho mwema sana hapa duniani ambao wengi hawatafanikiwa kufa kifo hicho.

NB. Kwa wasiojua Magufuli alikuwa jasiri hata mbele ya kifo kiasi cha kupata nguvu ya kuimbisha nyimbo.!
Mtakatifu JPM

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
mkuu mimi hua sibishani na wafuasi...

kinachokusumbua wewe ni ufuasi, hutaki kutanua ubongo nje ya ufuasi...

mitazamo yako kwenye vyama ni ile ile...(hutoki nje ya mbowe)

hata kwenye simba ni hivyo hivyo(hutoki nje ya mo)

sasa mtu kama wewe tukikuelezea umuhimu wa magufuli, utaelewa?
Magufuli ana umuhimu gani?
 
Sasa hiyo elimu ya msingi alisoma miaka minane 1967-1974. Huyu bwana ngoja Mungu ampumzishe, alikuwa rais wa hovyo ni hakuna mfano.

Ameacha nchi ikiwa na machungu kwa dhuluma na uonevu aliokuwa akiwafanyia wananchi. Mungu atamuhukumu.
 
Ukicompear na huyu wa sasa bora mwenda sake kea kweli
 
Kwetu sisi tulioishuhudia tarehe 17/3/2021 tukiwa ubavuni mwa hayati rais Magufuli ilikuwa ni siku ya giza nene na simanzi nzito sana. Tulihisi dunia inaanguka.

1. Siku hiyo asubuhi hayati Magufuli alituita na kutuambia tumtegemee Mungu na tuwafukishie ujumbe watanzania wote kuwa waendelee kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.
2.Hayati Magufuli akiwa amezungukwa na manesi na madaktari alianza kuimbisha nyimbo na baadae akaongoza sala ya kitubio.
3. Alimpigia simu padri wa kanisa la st peter's na alipofika alimwongoza sala na kumpatia mpako mtakatifu.
4. Alimpigia simu mufti mkuu shehe Zuberi na alipofika waliongea kidogo na baadae akamuomba amwombee alale salama na mufti alifanya hivyo kwa utulivu mkubwa.
5. Alimpigia simu Kardinali Pengo na kumwambia maneno yafuatayo," Nilitamani kuiona Tanzania mpya lakini kwa hali yangu sitaweza kuiona.
6. Alimpigia na kumpa dokezo CDF Mabeyo.
7. Baada ya hapo alijifunika shuka akalala na hakuamka tena.

Hakika hayati Magufuli alikuwa na mwisho mwema sana hapa duniani ambao wengi hawatafanikiwa kufa kifo hicho.

NB. Kwa wasiojua Magufuli alikuwa jasiri hata mbele ya kifo kiasi cha kupata nguvu ya kuimbisha nyimbo.!
Mkuu hili natumai ilikuwa Ni taarifa rasmi iliyoratibiwa na Wahusika maalumu kuwatoa hofu Watanzania.Ukweli mchungu Kifo hakina protocol ya kisiasa namna hiyo. Walisahau kuweka wanafamilia na marafiki zake wa karibu.Any way apumzike kwa Amani.
 
JPM alikuwa ni aina ya Rais ambaye hii Tanzania na nchi nyingi za kiafrika inawahitaji.

R.I.P Mzee wetu kila nikifika Chato natamani kulia, ndoto zangu zilikatishwa ghafla na kifo chako.
 
JPM alikuwa ni aina ya Rais ambaye hii Tanzania na nchi nyingi za kiafrika inawahitaji.

R.I.P Mzee wetu kila nikifika Chato natamani kulia, ndoto zangu zilikatishwa ghafla na kifo chako.
hahahahaha sema ukweli yaani ndoto zako zilikufa na mwendazake?

Sicheki Kwa mazuri ila imenisikitisha Sana mkuu kusema ukweli aliondoka na ndoto za wengi yule Mwamba nyingine ni ndoto za kutisha kiasi kwamba unaweza jikojolea kitandani aiseeee daaa!
 
Afrika inahitaji viongozi wenye maono kama Magufuli

Na sio viongozi wa porojo , perepeche mingi

Kinacho endesha treni ni ingini na sio honi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom