Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
[emoji23][emoji23]ndo maana nimecheka asee
Praise team.
Yaani kifo kikukabili bado uwe na uwezo wa kupiga simu nne ?! Labda siyo kifo
Jibu hili hapaWatanzania tunakera sana mkuu. Utasikia rais ametoa billion kadhaa. Nye nye nye. Ametoa wapi hiyo hela? Yaan hela.zetu halaf tena rais ametupa? Bastarda. Katika maisha yangu i will never be a boot licker to any one. Or else they should come and kill meeeee
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
mkuu mimi hua sibishani na wafuasi...shujaa wa kitu gani. Acheni kushika watu masikio
Washamba wa chato haoJibu hili hapaView attachment 1967148
Mtakatifu JPMKwetu sisi tulioishuhudia tarehe 17/3/2021 tukiwa ubavuni mwa hayati rais Magufuli ilikuwa ni siku ya giza nene na simanzi nzito sana. Tulihisi dunia inaanguka.
1. Siku hiyo asubuhi hayati Magufuli alituita na kutuambia tumtegemee Mungu na tuwafukishie ujumbe watanzania wote kuwa waendelee kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.
2.Hayati Magufuli akiwa amezungukwa na manesi na madaktari alianza kuimbisha nyimbo na baadae akaongoza sala ya kitubio.
3. Alimpigia simu padri wa kanisa la st peter's na alipofika alimwongoza sala na kumpatia mpako mtakatifu.
4. Alimpigia simu mufti mkuu shehe Zuberi na alipofika waliongea kidogo na baadae akamuomba amwombee alale salama na mufti alifanya hivyo kwa utulivu mkubwa.
5. Alimpigia simu Kardinali Pengo na kumwambia maneno yafuatayo," Nilitamani kuiona Tanzania mpya lakini kwa hali yangu sitaweza kuiona.
6. Alimpigia na kumpa dokezo CDF Mabeyo.
7. Baada ya hapo alijifunika shuka akalala na hakuamka tena.
Hakika hayati Magufuli alikuwa na mwisho mwema sana hapa duniani ambao wengi hawatafanikiwa kufa kifo hicho.
NB. Kwa wasiojua Magufuli alikuwa jasiri hata mbele ya kifo kiasi cha kupata nguvu ya kuimbisha nyimbo.!
Magufuli ana umuhimu gani?mkuu mimi hua sibishani na wafuasi...
kinachokusumbua wewe ni ufuasi, hutaki kutanua ubongo nje ya ufuasi...
mitazamo yako kwenye vyama ni ile ile...(hutoki nje ya mbowe)
hata kwenye simba ni hivyo hivyo(hutoki nje ya mo)
sasa mtu kama wewe tukikuelezea umuhimu wa magufuli, utaelewa?
alikua na uthubutu kuliko raisi yeyote ukiacha nyerereMagufuli ana umuhimu gani?
Maneno ya msingi na yenye maana kubwa sana uliyoyaandika.Oh very saad.Je alipata nafasi ya kuomba msamaha watu aliowatendea vibaya?
RIP
Mkuu hili natumai ilikuwa Ni taarifa rasmi iliyoratibiwa na Wahusika maalumu kuwatoa hofu Watanzania.Ukweli mchungu Kifo hakina protocol ya kisiasa namna hiyo. Walisahau kuweka wanafamilia na marafiki zake wa karibu.Any way apumzike kwa Amani.Kwetu sisi tulioishuhudia tarehe 17/3/2021 tukiwa ubavuni mwa hayati rais Magufuli ilikuwa ni siku ya giza nene na simanzi nzito sana. Tulihisi dunia inaanguka.
1. Siku hiyo asubuhi hayati Magufuli alituita na kutuambia tumtegemee Mungu na tuwafukishie ujumbe watanzania wote kuwa waendelee kumtanguliza Mungu kwa kila jambo.
2.Hayati Magufuli akiwa amezungukwa na manesi na madaktari alianza kuimbisha nyimbo na baadae akaongoza sala ya kitubio.
3. Alimpigia simu padri wa kanisa la st peter's na alipofika alimwongoza sala na kumpatia mpako mtakatifu.
4. Alimpigia simu mufti mkuu shehe Zuberi na alipofika waliongea kidogo na baadae akamuomba amwombee alale salama na mufti alifanya hivyo kwa utulivu mkubwa.
5. Alimpigia simu Kardinali Pengo na kumwambia maneno yafuatayo," Nilitamani kuiona Tanzania mpya lakini kwa hali yangu sitaweza kuiona.
6. Alimpigia na kumpa dokezo CDF Mabeyo.
7. Baada ya hapo alijifunika shuka akalala na hakuamka tena.
Hakika hayati Magufuli alikuwa na mwisho mwema sana hapa duniani ambao wengi hawatafanikiwa kufa kifo hicho.
NB. Kwa wasiojua Magufuli alikuwa jasiri hata mbele ya kifo kiasi cha kupata nguvu ya kuimbisha nyimbo.!
hahahahaha sema ukweli yaani ndoto zako zilikufa na mwendazake?JPM alikuwa ni aina ya Rais ambaye hii Tanzania na nchi nyingi za kiafrika inawahitaji.
R.I.P Mzee wetu kila nikifika Chato natamani kulia, ndoto zangu zilikatishwa ghafla na kifo chako.
Mwalimu amefariki wewe upo darasa la 5c kule kijijini kwenu giza tupu!!Ipi hiyo unayo itaja wakati sasa hivi watu wanazidi kuikumbuka legacy ya mwl JK Nyerere?
Kwenu wewe chatou hata hakukuwa na nyumbaMwalimu amefariki wewe upo darasa la 5c kule kijijini kwenu giza tupu!!