TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Familia nyingi au karibu zote baba au mama akipata Corona wote wanaumwa Corona, ukiangalia statistics hapa dar baba akiumwa mama naye yuko ICU akifa mmoja wote wanakufa kwa siku tofauti. Cha ajabu vifo vya JPM ,kijazi na msaidizi wake , wake zao wote wapo wazima hata homa tu kuumwa hakuna, kwa hiyo ukitumia akili au matako yako kufikiri kwamba Corona ndiyo alimwondoa JPM , uumba wa mwenyezi mungu utakuwa ujautendea haki.
 
Mnazidisha wasiwasi wa kuaminiwa kutokana na kurudiarudia habari za namna hii. Wakati mwingine inasemwa kuwa zinatengenezwa hadithi fulani za mlengo fulani ili kupata justification ya kufanya mambo fulani!!! Mfano, story ya matakwa ya mabaka mabaka naitilia mashaka makubwa.
=====

Itendee haki avatar yako. Kwa sababu mwenye picha hiyo hatuamini hata kidogo kuwa anaweza kuwa na mawazo yanayofanana na ya kwako.
 
Kwan wewe hautakufa , unachoshangilia ni kutangulia majigambo uliyonayo siku Moja yatakupata tuuu ,,,,
 
Nairobi hospital data confirm that, corona fyekeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeelea kwa mbali. Asante Yesu
 
Fyekeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mama Janet ananenepa wewe bado upo kwenye msibani ukiendeleza kilio tena ajabu unang’ang’ana na marehemu, ama hakika TZ vichaa ni wengi kuliko walio timamu, samahani mama muuza ya leo kali weka nusu.
 
Wakati waliomuua wameanza kutajana, wewe umetumwa kuvuluga upepo! Soma comment kwenye kauli ya mzee b miembe juzi utajua watu wanajua! Husitufanya mafara
 
Kwani wewe utaishi milele? Kwani kifo hakijawahi kufyeka ndugu zako? Kifo hakijaanzia chato, wachaga mnavyofurahia kifo cha magufuli, mind you kila mtu atafunika kaburi yake.
Kwani kifo kina huruma basi? Haijalishi alisababishiwa au ni mpango wa Mungu sisi tunashukuru maana kila mtu ataonja mauti.

Leo unacheka sisi tunalia ipo siku na wewe utakuwa ukilia na kusaga meno nasi kinafiki tutakuwa tukijisemea mmmh kwani nao wanaonja utamu wa kaburi yetu macho hii siku ipo haijarishi itafika lini.

Jpm wewe endelea kupumzika kwa amani.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…