Si walikua wanasema JK ni Rais dhaifu,kisa tu alikua anawaalika Ikulu kunywa chai pamoja, Basi JK kwa Makusudi kabisa akawaletea Chuma kutoka Chato wapambane nacho, Sasa wamenyooka,na hadi Mama Sasa wanamsifia! Hiyo ndiyo CCM chama Dola wakiamuwa kunyoosha wananyoosha,na wakiamua kupindisha wanapindisha mazima!!!
Jf administration inabidi watuwekee kitufe cha dole la kati kwenye 'thanks' ili tukitumie kwa watu kama ninyi 🖕, then wakuletee taarifa 'so and so fingered you'Kama vile Kila tukikutana na majanga,tunavyowakumbuka Adolf,Amini na Botha.
Moto asichomwe tundu lisu mshikishwa ukuta aje achomwe Magufuli mtetezi wa wanyonge?Sasa hivi anachomwa moto kwa dhambi za kuwapoteza akina saa nane, kangoye na wengine wengi. Marafiki zake mtubu or else mtaishia kama yeye.
Nimecheka sana.Si walikua wanasema JK ni Rais dhaifu,kisa tu alikua anawaalika Ikulu kunywa chai pamoja, Basi JK kwa Makusudi kabisa akawaletea Chuma kutoka Chato wapambane nacho, Sasa wamenyooka,na hadi Mama Sasa wanamsifia! Hiyo ndiyo CCM chama Dola wakiamuwa kunyoosha wananyoosha,na wakiamua kupindisha wanapindisha mazima!!!
Mtakufa mtaisha bila kumchafua huyu jamaaKama vile Kila tukikutana na majanga,tunavyowakumbuka Adolf,Amini na Botha.
Tusonge mbele maana hata akumbukwe vipi kurudi haiwezekani. Mtazamo wetu juu ya kifo ni tofauti na wenzetu huenda ndiyo maana wameendelea.
kama lissu anatenda hiyo dhambi akifa naye atachomwa moto tu. Ila kwa matendo maovu ya magufuli na kwa mujibu wa mafundisho ya dini na imani ni dhahiri sasa hivi anachomwa moto jehanamu.Moto asichomwe tundu lisu mshikishwa ukuta aje achomwe Magufuli mtetezi wa wanyonge?
Jk alishindwa kumuweka MTU wake ndio maana akapenyezwa JPM !Si walikua wanasema JK ni Rais dhaifu,kisa tu alikua anawaalika Ikulu kunywa chai pamoja, Basi JK kwa Makusudi kabisa akawaletea Chuma kutoka Chato wapambane nacho, Sasa wamenyooka,na hadi Mama Sasa wanamsifia! Hiyo ndiyo CCM chama Dola wakiamuwa kunyoosha wananyoosha,na wakiamua kupindisha wanapindisha mazima!!!
Anakumbukwa na familia yako
Au waende ChatoMnateseka.....sumu za panya zipo tele
hivi toka aanze kuungua hajaisha tu😅😅Sasa hivi anachomwa moto kwa dhambi za kuwapoteza akina saa nane, kangoye na wengine wengi. Marafiki zake mtubu or else mtaishia kama yeye.
Amina
Mungu akulaze mahala pema peponi.
Amen saa hizi tayari yuko peponi!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
Mungu akulaze mahala pema peponi.