TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Basi tunawatakia kila la kheri kwenye maombolezo yao. Ila haisaidii sana maana inawapotezea muda.

Keshanyamaza milele huyo, kamwe hatoibuka tena kutekateka na kuumiza watu achilia mbali kupora korosho zao!
Upo sahihi mkuu kusema hivyo.

Na pia kuna usahihi wenye kutia shaka ssna kwa offensive attacks zinazofanywa na walio hai dhidi ya aliyenyamaza milele. Mashaka hayo yanasawiri namna ambavyo uwezo na mwangwi wa mnyamazishwa milele unavyowasumbua wanaotamani asiendelee kurindima hata akiwa huko mapumzikoni yasiyoisha.

Waache watukane
Waache wajibu
Waache waomboleze
Waache washangilie
Waache tu
 
1. Kututeulia makamu wako wa kike

2. Kututeulia mwanamke yule wa Tukuyu na kumpa ubunge

3. Kupuuza mchakato wa katiba mpya.

4. Kupambana na Upinzani na kuudhoofisha.

5. Kuhujumu uchaguzi mkuu 2020.
Hivi kipi kimewasibuuuu?? Makubaliano ya kupangisha bandarii, hapa tutafanikiwa zaidiiii. Itaondoa rushwa na ubadhilifu uliopindukiaa. Kwa pamoja tumpongeze Dr. SAMIA SULUHU HASSAN. Kwa hili la bandarii ameupiga mwingiii
 
Hivi kipi kimewasibuuuu?? Makubaliano ya kupangisha bandarii, hapa tutafanikiwa zaidiiii. Itaondoa rushwa na ubadhilifu uliopindukiaa. Kwa pamoja tumpongeze Dr. SAMIA SULUHU HASSAN. Kwa hili la bandarii ameupiga mwingiii
Aliyewanyima elimu ya maana watanzania, alitukosea sana.
 
1. Kututeulia makamu wako wa kike

2. Kututeulia mwanamke yule wa Tukuyu na kumpa ubunge

3. Kupuuza mchakato wa katiba mpya.

4. Kupambana na Upinzani na kuudhoofisha.

5. Kuhujumu uchaguzi mkuu 2020.
Chadema siyo wa kuamini hata kidogo Magu aliwapatia hasa wanapenda Mambo yote mazuri yawe yao
 
1. Kututeulia makamu wako wa kike

2. Kututeulia mwanamke yule wa Tukuyu na kumpa ubunge

3. Kupuuza mchakato wa katiba mpya.

4. Kupambana na Upinzani na kuudhoofisha.

5. Kuhujumu uchaguzi mkuu 2020.
Unamkumbuka mtu aliyeua watu? Yupo wapi Ben sanane?
 
1. Kututeulia makamu wako wa kike

2. Kututeulia mwanamke yule wa Tukuyu na kumpa ubunge

3. Kupuuza mchakato wa katiba mpya.

4. Kupambana na Upinzani na kuudhoofisha.

5. Kuhujumu uchaguzi mkuu 2020.
Halafu kuna vijitu vinamtukuza
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…