Hili ni jambo linapaswa kutajwa( for the record),kwamba juzi,siku ya Jumatano,mke wa Magufuli alitembelewa na Radio Kwizera ya Ngara,akasema:
"Nimeshi na mume wangu miaka 36,hakuwahi kulalamika tatizo la moyo,alikuwa mzima.
Sema tu dunia ni hadaa,ulimwengu shujaa.
Nimeporwa,ila Mungu anajua.
Ampumzishe kwa amani mzee wangu.
Nashindwa kubeba ari niliyo nayo.
Kweli Mungu ananipigania."
(Oh, nimesahau kusema hii olikuwa video ya two years ago ya Msafi Media katika Ayotv.)
Sasa,kwa radio interview,naona kwamba haikuwa ndefu sana, kwa vile naona ni sentensi moja tu. Au labda yapo mambo mengine hayakusemwa.