Nzelu za bwino
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 400
- 484
Kwa kweli ni huzuni sana ...Mungu atushike mkono kuna mpasuko mkubwa hatujui nini kilichopo,nini kinakuja,kwanini imetokea hivi?.This's sad news indeed...
Naionea huruma Tanzania kwa kweli, days of darkness ahead if we ain't gonna stand together...
Same here:Yan me mpaka nimeamka kuwasha taa. Honestly nimeumia [emoji24]
R. I. P muheshimiwa Rais
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Sasa wale waliokamatwa kukusema ni mgonjwa waachiwe huru haraka sana.
Absolutely right KakaRest in power Ngosha.
You made your mark.
Respect.
[emoji123]
We acha , Trump nae ana bahati tu yule, alafu akaenda kuchoma chanjo kimya kimya hakutaka wafuasi wake wajue.Jamani Mungu ampumnzishe kwa amani.Si kwa dharau zile. Corona hii jamani.
Sisi binadamu, huwa tunajua umuhimu wa mtu pale aondokapo