TANZIA Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar

Status
Not open for further replies.
Apumzike kwa amani, kifo Ni fumbo kubwa ooh God😭😭😭
 
Huyu alkuwa rais wa nchi so baada kufa lazima uandae mazingira ndo utangaze syo ghafla ghafla tu
Wengi hawajui hilo. Kiongozi akifariki lazma uweke vitu sawa ndipo utangaze.
 
Dah, inasikitisha Sana asee😭😭😭😭
Apumzike kwa Amani

Amen
 
It's such a big loss to the country, rest in peace Mr. President.
 
Mama Samia akiwa kama Rais ajae.

Alete uchumi imara uliosinyaa na sera nzuri za ustawi na mshkamano wa taifa letu.

Magufuli apumzike anapostahili.
Mama Samia tumuombee
 
Watu wameteseka sana, wamenyanyaswa, wamepotezwa, wametekwa, kuzurumiwa kufungwa kwa kuonewa tu na wengine wako mahabusu mbalimbali na wengine wamekimbia nchi kwa akili yake....
Ni kweli...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…